hizi akili zetu watanzania za micharuko na kukuza vitu bila kuwa na taarifa kamili kwa kweli inatia kinyaa...utakuta hapo ni moshi tu umeonekana unatoka ndani ya chumba kimoja lakini mtu anasema hospitali inaunguaWadau nimepata taarifa sasa hv kuwa hosp ya St. Joseph ya kanisa katoliki iliyopo moshi mtaa wa soweto imeungua. Naomba mwenye taarifa zaidi atujuze plse.
Ha ha ha ha ha a haaaaaa,JF is soooo funnyulikuwa unakimbilia wapi si ungepata kwanza full data au ulitaka uwe wa kwanza kupost?