Kitotonya
Senior Member
- Dec 9, 2011
- 188
- 60
Wanafunzi wa st joseph collage of engineering & information technology wameanzisha mtiti kufuatia kuchelewa kwa mikopo yao. Inasemekana kwamba tayari bodi ya mikopo wamesha toa mikopo kwa wanafunzi wote wa mwaka wa tatu na wa nne. Lakini wanafunzi wamemaliza mwezi toka wafungue chuo. Sasa utawala unategemea wanafunzi wanaishije.