ST John na umombo "kanumba" - "Temporary Closer" au "Temporary Closure" ?

bangi mbaya sana.... nasikia kule kwenu huwa mnavutia kwenye kibuyu.!!!!!!!!!! sawa jina aliweka kwenye tangazo,ni hiyo kwenye bold wewe inakuhusu nini,kwani yeye alipenda.. jaribu kuwa na busara hata kama bangi zimekuzidia. dawa yako wakutafutie watato wa chang'ombe,kizota,kikuyu au chaduru ili waimalize dharau yako.. wewe kila kitu unakurupukaga tu,iwe siasa,jokes,dini,economics na nyinginezo comments zako ni chuki,upuuzi,pumba kila siku.. aaaarrrrrrrrrrrrrgggggggghhhhhhhh......... unatuuzi sana wana jf!!

Niombe radhi mkuu kwa kuniita mvuta bangi.
 
Anaitwa Meshack Karimu huyo Afisa Uhusiano wa St. John's. Ni kilaza wa kufa mtu na amedesa sana kupata hako kadigrii kake. Ni aina ya wale watoto walioishi mitaani kwa muda wa miaka tisa mfululizo.

Wahadhiri on work.wala hapa siingilii.
 
Ningesema wapi kuwa sivuti bangi? Kwenye registration forms za JF kuna swali kama hilo?

Kabla ya kutaka kuombwa radhi ungesema kuwa hutumii hiyo kitu, kama huvuti ni kweli unastahili kuombwa radhi
 
Kabla ya kutaka kuombwa radhi ungesema kuwa hutumii hiyo kitu, kama huvuti ni kweli unastahili kuombwa radhi

Kwahiyo unataka kuniambia kuwa kila mtu humu jamvini anavuta bangi? Au unataka kusema kuwa members wote wa JF walishawahi kukujulisha kuwa hawavuti bangi?
 
Kwahiyo unataka kuniambia kuwa kila mtu humu jamvini anavuta bangi? Au unataka kusema kuwa members wote wa JF walishawahi kukujulisha kuwa hawavuti bangi?

Hawajawahi kusema ila maandishi yao huwa yanapiga kelel kuwa wanavuta lile jani muhimu
 
Hivi aliye type hili tangazo alishindwa tumia hata grammar check ya Ms word, jamani tuongeze umakini tunapotumia lugha za wenzetu kutoa tamko au tangazo kwa umma.
 
Close= funga, closer= mfungaji, inglishi haipo kukitafsiri kiswahili

neno close hutumika kama verb (lose- closed- closing...) na pia adjective likiwa closer ni sawa na comparative ya close yaani close- closer- closest. closer halina maana ya mfungaji
 
Hilo si kosa ni Error!
Kuna mambo ya kuyapa attention zaidi kuliko neno hilo!
Unaweza kunambia impact ya kutisha ya kosa hilo kwa jamii ninini?

Mkuu, you are not serious! Huoni impact ya kitu kama hicho kutoka katika Taasisi ya Elimu ya juu? Kwangu mm hii inatoa picha kwamba uongozi wa chuo haupo makini,haufuatilii mambo. Kabla ya tangazo km hili kupelekwa for public consumption ni vema likapitiwa. Mtoa thread kaona mbali, mwanzo wa mambo makubwa ni mambo madogomadogo km hayo.
 
Tatizo letu wa-Bongo huwa hatujipi muda wa kusoma na kusoma na kusoma kile tulichoandika. Huwa nashangaa sana sijui huwa tunataka kuwahi wapi? Naamini kabisa huyo jamaa angejipa muda wa kulisoma hilo bandiko lake mara kadhaa angegundua ni wapi alipokosea. Wahariri wetu nao hovyo, utafikri hawajaenda shule!

Kikawaida unapotaka kupeleka kitu for public consumption ni vema ukatafuta watu wawili watatu wakapitia ulichoandika wakakushauri ikiwa ni pamoja na kurekebisha makosa kama hayo. Pili mhariri nae alitakiwa kupitia tangazo na kushauriana na mteja wake kama kuna makosa. Ina maana angeona kuna tusi hapo angelitoa hvyo lilivyo?.
 
Back
Top Bottom