St john dodoma [sjut]

bob nasta

Senior Member
Apr 25, 2011
145
118
Naomba msaada kama kuna anayefahamu zaidi kuhusu chuo hiki [SJUT ] yaani elimu inayotolewa
kwa kifupi nikifananishe na chuo gani kwa ubora au kwa ubaya
 
Ni miongoni mwa vyuo vikuuu 13 kama sikosei ambavyo vimefikia stage ya mwisho ya usajili hapa Nchini, so kwa case ya private university nadhani ni hichohicho kimoja na kwa kusoma ni kizuri kwani hakina ushindi wa mezani kama baadhi ya vyuo vingine vya privates ambavyo kwa mwaka mzima hakuna hata mwanafunzi mmoja ambaye anadisco!!! huku ni kitu ambacho hakiwezekani,

Mimi sio mwanafunzi wa hapo msijemkasema nimekifagilia bure.
 
Ni miongoni mwa vyuo vikuuu 13 kama sikosei ambavyo vimefikia stage ya mwisho ya usajili hapa Nchini, so kwa case ya private university nadhani ni hichohicho kimoja na kwa kusoma ni kizuri kwani hakina ushindi wa mezani kama baadhi ya vyuo vingine vya privates ambavyo kwa mwaka mzima hakuna hata mwanafunzi mmoja ambaye anadisco!!! huku ni kitu ambacho hakiwezekani,

Mimi sio mwanafunzi wa hapo msijemkasema nimekifagilia bure.

bwa mdogo acha uoga naona umekipigia debe vya kutosha hicho chuo ila all in all vyuo vyote ni sawa cha msingi ni wewe kuwa compitent.
 
bwa mdogo acha uoga naona umekipigia debe vya kutosha hicho chuo ila all in all vyuo vyote ni sawa cha msingi ni wewe kuwa compitent.

Ni mtizamo wako mkuuu, ila kwa uelewa wangu mdogo najua ni chuo pekee na st Joseph ambavyo vimefanyiwa accreditation kwenye hivi vyuo vya privates. Nirudie tena kuwa mimi msio mwanafunzi wa hapo na sina hapa mpango wa kujiunga nao kwa njia yeyote ile
 
Back
Top Bottom