Japokuwa maadili na tabia njema huanzia nyumbani ila shule naamini ina mchango mkubwa wa kuwafunza watoto hayo. Wizi baina ya watoto umekithir shule hii ukimpa mtoto kitu uhakika wa kurudi nacho mdogo. Na watoto kupigana nahisi labda ni mmoja wa michezo shuleni hapo. Nimeripoti kwa walimu na kuandika barua naona as if walimu wanapenda tabia hizo. Au niseme wizi ni moja ya somo katika shule ya mmiliki mchaga? Inakeraaaa!