St. Florence Academy: Watoto kuibiana na utukutu ni moja ya somo

jongoo

Member
Feb 10, 2010
17
3
Japokuwa maadili na tabia njema huanzia nyumbani ila shule naamini ina mchango mkubwa wa kuwafunza watoto hayo. Wizi baina ya watoto umekithir shule hii ukimpa mtoto kitu uhakika wa kurudi nacho mdogo. Na watoto kupigana nahisi labda ni mmoja wa michezo shuleni hapo. Nimeripoti kwa walimu na kuandika barua naona as if walimu wanapenda tabia hizo. Au niseme wizi ni moja ya somo katika shule ya mmiliki mchaga? Inakeraaaa!
 
poleni na bado tabia zingine mbovu
kama kutembea na wanafunzi
huku unalipa malaki na mamilioni ya pesa
 
Duh! nilijua matatizo haya ni kwangu tu kumbe wengi. Inaelekea shule kuna kitu haifanyi. Ingekuwa serious kukemea kila siku kwa watoto na kuwaathibu watoto vibaka na wanaopiga wenzao tatizo lingeisha ila shule kama vile haijali iko kifedha zaidi. Mwanangu anaibiwa na kubondwa mpaka akaomba kuhama shule. Je wanaoibiwa wakiamua kuiba si inakuwa wamepta somo tayari kama alivyosema jongoo. Ukiwauliza waalimu wanasema ni shauri ya watoto wa boarding. Saa nyingine mtoto anakimbia akicheza anategewa nyuma anaanguka, mara anapigwa vibao bila kosa. Duh, Mama Assey do something we are tired ooo!
 
And I thought that was the best school kati ya akademia zisizo international! Fundisheni wenenu wrestling, natangaza rasmi twisheni
 
watoto wanaoiba wanajulikana kwa wanafunzi na walimu coz saa nyingine wanadokoa wakiwa wanaonekana. Wizi ni haza pale wanapokuwa mapunziko na mabegi wametindika madarasani kwao. Mtoto akitaka kwenda kusema kwa mwalimu anachimbwa mkwara mzito wa kubondwa. Yaani uswahiliiiiii kama zile shule za kanumba. Tunalipa ada kubwa ili iweje sasa wewe mkuu wa shule? Kaeni ongeeni na watoto, shirikisheni wazazi wa watoto watukutu. Aaaaaaghhhhhhhrrrrrrrrrrr!
 
Nafikiri kama wazazi mnapaswa kuongea kwa hasira hizi katika vikao vya PTA kama vipo. Na mliweke hili katika agenda muhimu na kumweleza huyo mmiliki wa shule wazi linavyokera. Mara nyingi vikao kama hivi utakuta mzazi mmoja au wawili tu ndio wanaoongea kukiwa na jambo, wengine wanalalamika chini kwa chini ili kuepusha watoto wao wasionekane wapo against uongozi. Mzazi una wajibu maana unalipa ada na mara nyingine hata mwanao anaweza kuwa ndie anayewa-bull wenzie.
 
Japokuwa maadili na tabia njema huanzia nyumbani ila shule naamini ina mchango mkubwa wa kuwafunza watoto hayo. Wizi baina ya watoto umekithir shule hii ukimpa mtoto kitu uhakika wa kurudi nacho mdogo. Na watoto kupigana nahisi labda ni mmoja wa michezo shuleni hapo. Nimeripoti kwa walimu na kuandika barua naona as if walimu wanapenda tabia hizo. Au niseme wizi ni moja ya somo katika shule ya mmiliki mchaga? Inakeraaaa!

ulitaka mwenywe Academy, wakati ww ulisomea UPE matokeo ndi hayo .....
 
ninachokiona hapa ni watoto wasio wezi watajifunza na wasio wababe watataka kujilinda na ndio mwanzo wa kuwafanya watoto wetu vibaka.
 
Hiyo shule inawaandaa majambazi watakaohatarisha maisha yetu na mali zetu.Kwa kuwa wazaz wanafumbia macho madudu haya hayamkuniki hao watoto wakaanzia kwa wazaz wao kupoka mali na hata kuwapiga.
 
Hiyo shule inawaandaa majambazi watakaohatarisha maisha yetu na mali zetu.Kwa kuwa wazaz wanafumbia macho madudu haya hayamkuniki hao watoto wakaanzia kwa wazaz wao kupoka mali na hata kuwapiga.

Opportunist, Mimi binafsi nimesha piga simu weeeeee, nimeandika msg weeeeee, nimekwenda shule na kusema weeeeee ila hakuna bailiko. Last time mtoto aliibiwa swimming costume inaingia akilini hiyo. mwee!
 
Another problem ni transport mwe! migari mibovu mara nyingi watoto huchelewa kurudi. Chelewa kulipa ada wewe, mtoto anarudishwa home first day no discussion
 
nakuunga mkono asilimia 200! Shule hii kwa wizi imekithiri. Kila siku unanunua vitabu vinaibiwa. Mimi nilifuatilia nikagundua kua walimu pia ni wezi. Tena ndio wanaongoza. Kuna watoto wezi na walimu pia. Inakera sana!

Ha ha ha ha hiyo kiboko.
 
Opportunist, Mimi binafsi nimesha piga simu weeeeee, nimeandika msg weeeeee, nimekwenda shule na kusema weeeeee ila hakuna bailiko. Last time mtoto aliibiwa swimming costume inaingia akilini hiyo. mwee!
Bora hiyo . Wa kwangu aliibiwa biblia mpya. Niliandika na namba za simu page ya kwanza. Ina maana hata mzazi hajaziona anirudishie?, je mwalimu, je mfagizi?, je mpishi? je mlinzi, je dereva .Nilipiga simu ola. nikaanika kwenye diary ola; nikafika shuleni ola. hata leo naiomba kwa kuwa bado naihitaji .
 
Bora hiyo . Wa kwangu aliibiwa biblia mpya. Niliandika na namba za simu page ya kwanza. Ina maana hata mzazi hajaziona anirudishie?, je mwalimu, je mfagizi?, je mpishi? je mlinzi, je dereva .Nilipiga simu ola. nikaanika kwenye diary ola; nikafika shuleni ola. hata leo naiomba kwa kuwa bado naihitaji .

Duh hii kali zaidi. Malalamiko ni mengi ila mkuu wa shule akiona yamezidi najua atampa hela kidogo Kibonde wa Clouds FM amsafishe kwenye jahazi kwa maneno ya kipuuzi bila kushughulikia tatizo. Niseme wazi shule ile ina watoto watukutu na wa kukemea ni shule kwa sababu inawezekana home hawafanyi hayo. wamiliki msifananishe kuendesha shule na Bar ya Rose Garden mwe!
 
KUMBE TUKO WENGI? WANGU ALITEGEWAGA AKAANGUKA NA KUUMIA NILIPOTAKA MAELEZO ZAIDI NIKAAMBIWA WANAFATILIA MPAKA KESHO. MTOTO ANASEMA ALITEGEWA MAKUSUDI NA MVULANA.Plus vimbwanga vya wizi ndio usiseme.
 
KUMBE TUKO WENGI? WANGU ALITEGEWAGA AKAANGUKA NA KUUMIA NILIPOTAKA MAELEZO ZAIDI NIKAAMBIWA WANAFATILIA MPAKA KESHO. MTOTO ANASEMA ALITEGEWA MAKUSUDI NA MVULANA.Plus vimbwanga vya wizi ndio usiseme.


Buguruni pole sana. Kweli malezi ya shule hii sifuri. Wanapaswa kutambua muda mwingi wa watoto huutumia shuleni wakirudi ni home works na kulala hivyo walimu wanalo jukumu nkubwa la malezi
 
Back
Top Bottom