The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Taarifa rasmi nlizozipata ni kwamba chuo cha mtakatifu Agustine kimezindua rasmi business incubation centre kwa graduates wa chuo hicho.
Centre hiyo itakuwa inarecruit graduates wenye business idea,inapitia na kuwafunda na hatimaye graduates ambao idea zao zitapita watasaidiwa kuanzisha biashara hizo na kupatiwa mtaji kuanzia dola za kimarekani elfu kumi (USD 10,000) hadi elfu ishiri (USD 20,000)..
Ikumbukwe kuwa mtaji huo ni interest free seed capital..
Mchakato ni mrefu lakini unaonekana una tija kwa sababu tofauti na miradi mingine,hawa watu watakuwa na wahitimu wenye business idea mwanzo mpaka wanafanikiwa..na watawatengenezea network..
Kiukweli nadhani ni precedent ambayo vyuo vingine vinapaswa kufuata.
Centre hiyo itakuwa inarecruit graduates wenye business idea,inapitia na kuwafunda na hatimaye graduates ambao idea zao zitapita watasaidiwa kuanzisha biashara hizo na kupatiwa mtaji kuanzia dola za kimarekani elfu kumi (USD 10,000) hadi elfu ishiri (USD 20,000)..
Ikumbukwe kuwa mtaji huo ni interest free seed capital..
Mchakato ni mrefu lakini unaonekana una tija kwa sababu tofauti na miradi mingine,hawa watu watakuwa na wahitimu wenye business idea mwanzo mpaka wanafanikiwa..na watawatengenezea network..
Kiukweli nadhani ni precedent ambayo vyuo vingine vinapaswa kufuata.