wadau naomba mwenye info za uhakika kuhusu pale SSRA maana nilituma maombi naona kimya sasa sielewi kama walishaita na je walishaita nafasi zote? mimi niliomba nafasi ya PR
Usiwe na wasiwasi,kama upo utaitwa tu.Wakati mwingine huwa tunakuwa na wasiwasi kumbe organization inakuwa imesitisha ajira au haina pesa tena ya kuajiri au kibali cha ajira kime-expire kwa wenzetu wa serikalini etc.Kuwa mpole,punguza majoto.
wadau naomba mwenye info za uhakika kuhusu pale ssra maana nilituma maombi naona kimya sasa sielewi kama walishaita na je walishaita nafasi zote? Mimi niliomba nafasi ya pr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.