King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Kweli aisee, tena hairstyle eeh!
Mbona mtoto anafanana na akina Chenge?
Mbona mtoto anafanana na akina Chenge?
Kweli aisee, tena hairstyle eeh!
wanawake bwana,huyu dem alikuwaga ana nata,mashauz kibao,mara ooh! I hate black men,ilove whites,ishu ka za kina mange,jamaa kelvin akawaserious at the end aka ngo'a mzigo ule! Hapa nimepata somo
Jamani mmeanza, mzazi mmoja wa eliza ana asili ya India ndo mana mtoto kawa na nywele za kisinga
hakuna kitu hapo!!!!keshauziwa mbuzi kwenye gunia!!!!!yeye alee tu!!!
Kile kitu kilikua cha mlango wa nyuma ..aliekwambia chaoati inakaangwa upande mmoja nani?? ndo mana wa Tz wengi walim maind
tusubiri pia niece/nephew/ baby kid kutoka kwa Mwisho na Merryl. I love the idea of cross country marriage/family.
Please.........what a comment? It is not easy for people to tell resemblance on infants(small kids)so kindly stop. It is a nice family portrait.Mbona mtoto anafanana na akina Chenge?
Na Somo lenyewe ni Kuwa; ukikomaa hawa dada zetu hata awe nani? Wa wapi? Ana nini ukikomaa kilaiiinii! Hata mke aw Mtu ukikomaa unabeba
Happy family!Wamependeza sana, mtoto mzuri