KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Jamani kama kuna yeyote yule anajua vyanzo vya taasisi yoyote ile inayoweza kutoa sponsorship mimi ninandugu yangu alikuwa amepata mfadhili lakini kwasababu zisizoweza kuzuhilika amejikuta hana tena msaada na wakati alikuwa katika taratibu za mwisho za kupata viza ya kwenda UK kusoma chuo cha Nottingham.Nawaombeni msaada wenu wakuu.