bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Wana JF, napenda kuwafahamisha kuwa sasa wasomi wetu wanaanza kuja na mwelekeo tofauti na tunavyoweza kudhani. Spika wa Bunge la chuo kikuu cha Dar es salaam Daruso ambaye amemaliza muda wake Bwana Mwangomango amejiunga na Chama cha mapinduzi na kukabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa CCM Jumapili mchana tar 17 kwenye ofisi ndogo za makao makuu ya CCM Dar es salaam
Wasomi wetu wamejivua gamba ama sasa wanavaa magamba??
Wasomi wetu wamejivua gamba ama sasa wanavaa magamba??