Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,661
- 948
The Hunter, jana nikichangia kanusho la Kashilila kuhusu kupanda kwa posho zawabunge nilisema "Kashilila kapewa kozi na Nape ya kubadilisha ukweli kuwa uwongo na uwongo kuwa ukweli".Hili tatizo la kupinga pinga, linazidi kukomaa miongoni mwa magamba, Wabunge walisema zimeongezwa, katibu akapinga, leo Maddam speaker anakiri zimeongezwa! sasa yule Kashilila sijui anajiskiaje huko alipo, maana hatutarajii Dr. mzima kudanganya kitoto toto namna hiyo