coby
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 342
- 39
1. Weka hadharani ripoti ya Richmond hasa ule upande uliouzuia kuiokoa Serikali.
2. Tujuze Watanzania kuhusu ule unga wa Bungeni.
3. Waeleze wazi kuwa huzitaki siasa za majitaka.
4. Pambana na mafisadi popote pale hasa wanaotaka kuiuza nchi yetu.
5. Weka wazi zile kashfa za meremeta,kagoda na tangold ulizozizuia Bungeni.
6............
6. Muombe radhi Dr. Slaa na watanzania kwa ujumla kwa kuwa mnafiki na ukiri waziwazi kwamba sera ya elimu bure inatekelezeka sema tu ulikua unatetea tumbo lako