Invincible,
Mkuu nakubali maneno yako lakini hata hivyo ni lini kiongozi wa Tanzania amekuwa na mawazo tofauti na Malima.. labda wakati wa Nyerere!..
Nina hakika Mwinyi au Mkapa ndio waanzilishi wa fikra hizi..mikataba haikuanza kusainiwa wakati wa Kikwete..
Shina hili la Ufisadi na Ulimbukeni limeanzia mbali sana..
Mkuu nakubali maneno yako lakini hata hivyo ni lini kiongozi wa Tanzania amekuwa na mawazo tofauti na Malima.. labda wakati wa Nyerere!..
Nina hakika Mwinyi au Mkapa ndio waanzilishi wa fikra hizi..mikataba haikuanza kusainiwa wakati wa Kikwete..
Shina hili la Ufisadi na Ulimbukeni limeanzia mbali sana..