Spika Sitta na Usiri wa Mikataba na majibu ya serikali

Sarakasi za Sitta zinatatiza kwelikweli. Kwa nini kauli zake za Agosti 2007 wakati wa sakata la Buzwagi zilikuwa tofauti na hizi anazotoa leo!

Amesoma alama za nyakati na kugundua kwamba Watanzania wamechoshwa kudanganywa na viongozi waongo, mafisadi, wenye uroho wa utajiri wa haraka haraka na walioweka mbele maslahi yao badala ya yale ya nchi. Hivyo ameamua kujiunga na upande ambao unazidi kupata nguvu kila kukicha.

Alutta Continua!
 
Wala hakuna cha kushangaza hapa. Uswahiba wake na WANAMTANDAO wenzake ulimalizika kabisa pale aliporuhusu kamati ya akina Mwakyembe kuundwa na hatimaye taarifa ya kamati hii kusomwa BUNGENI. Kilichofuata baada ya hapo ni kipande kizuri tu cha HISTORIA ya NCHI yetu. Tanzania yetu baada ya sakata lile na hili la EPA ni nyingine kabisa.
 
Kama Sitta ameamua kuungana na wanyonge kudai haki yao nchini kwao ni vema kwani atakuwa upande wa washindi!! Sasa changamoto kwake ni kuhakisha bunge linakuwa huru na linafanyakazi kwa manufaa ya wananchi. Hawa wabunge hawawezi kusimamia mali zetu vizuri kama wanakuwa wajumbe wa bodi ambazo wanatakiwa wazisimamia na kuzithibiti. Sasa Sitta kwa kutekeleza good legislative principles zilizokubaliwa na Executive branch ahakikishe wabunge wake wanajiondoa kwenye hizi bodi kwa "SPEED" ili wananchi tufaidike na ufanisi utakaotokana na avoidance ya conflict of interest.
 
Basicaly ukweli sasa uko wazi.

Kuna siginificant polaraisation ndani ya CCM. Maana lazima hilo kutokea ili kutenga kulia na kushoto. juu na chini....etc

Bila polarity kutokea na hatimaye kujengeka na kuleta maana ya kiutendaji na kusabisha mgawanyiko wa kweli hakuna kusonga mbele.

Kwa sasa hali inakwenda vizuri.

Its a war between good and evel.

Pande zote mbili lazima zitokee na ziwe na nguvu hasa.

So.

Wana CCM wale mlio na nia nzuri...dont waste your time ....solid polarity haikwepeki...just be waise and take advantage.....muda uko upande wenu..!!

Just be true to your self and do all what is good for the humanity....Then all will be on youe side...! Muda umewadia. Ndio huu.

Na

Mungu ibariki Tanzania na watanzania wote wema. Na wadhoofishe mafidi wote na kuwa kuchanganyikiwa ili utupa ushidi wale wapenda utu wa watu.
 
Why are you suprised with Sitta's confusing statements? Who said a Politician must be CONSISTENT? They never will. He has his own agenda, for his own benefit. You can decide to either support or be against what he is saying. If you are a politician or an activist, CAPITALIZE on one or some or all of his statement(s), build or break him and have your WAY! Msimshangae mnapoteza muda wenu bure, this is a GAME.
 
Huyo ndiye Mr. Six (Sita). Dr. Slaa alipopeleka hoja binafsi Bungeni kuhusu mafisadi, Sita aliifanyia ajizi mpaka Slaa akaitoa bungeni. Sita alipokuwa anazungumzia hoja hiyo kwenye TVT Live, akiwa na Maprofesa Kabudi, Baregu na ....... (nimemsahau) alithubutu kusema kuwa nyaraka za hoja ya Slaa zilikuwa za kugushi na angezipeleka polisi. Slaa alipopeleka hoja yake kwa wananchi na kuweka bayana kila kitu pale Mwembeyanga, nchi ilitaharuki. Mafisadi waliotajwa walitishia kwenda mahakamani na hawakwenda. Si mnajua tena ukweli unavyouma. Watuhumiwa wote waliofikishwa mahakamani wakiwamo wa EPA na akina Mramba na Yona, uchunguzi wa tuhuma zao ulianzia kwenye hoja za Slaa na wenzake. Sijui Bwana Sita anajisikiaje? Ama kweli, jiwe waliloliacha waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
 
Ninamuamini Spika, maana bila yeye hivi vita vya mafisadi vingekua ndoto. Kila binadamu ana mapungufu yake!

mimi nakubaliana haswa,na field marshall, bila sitta ambae ndio kiongozi wabunge kukubali hoja iende mbele haya yote yaliotokea yasingekuwepo,kwa hiyo naona spika kaona nchi inamalizwa na kwamba wananchi wamechoshwa,maana bunge letu watu wanaogopana saana na ni yeye tu sasa hivi hamuogopi hata rais , kwa kumwambia ukweli

Urambo Tabora
 
mimi nakubaliana haswa,na field marshall, bila sitta ambae ndio kiongozi wabunge kukubali hoja iende mbele haya yote yaliotokea yasingekuwepo,kwa hiyo naona spika kaona nchi inamalizwa na kwamba wananchi wamechoshwa,maana bunge letu watu wanaogopana saana na ni yeye tu sasa hivi hamuogopi hata rais , kwa kumwambia ukweli

Urambo Tabora

Urambotabora kwangu Mimi sikubaliani naye lakini kwa maneno ya huyu mkuu hapa chini naweza kukubaliana nawe:
--------------------------------------------------------------------------------

Why are you suprised with Sitta's confusing statements? Who said a Politician must be CONSISTENT? They never will. He has his own agenda, for his own benefit. You can decide to either support or be against what he is saying. If you are a politician or an activist, CAPITALIZE on one or some or all of his statement(s), build or break him and have your WAY! Msimshangae mnapoteza muda wenu bure, this is a GAME.
 
- Ni haki ya kila member humu kuamini anachotaka, lakini ukweli hauwezi kufichwa ni lazima usemwe wazi na wananchi wataamua, Waziri Mkuu ndiye kiongozi wa shughuli za serikali bungeni, sasa yeye na Spika wakiwa kurasa tofauti kama wakati wa mashambulizi ya Dr. Slaa ni wananchi wengine tulishagundua hilo.

- Wapiganaji ndani ya bunge wanajulikana na wote wanajuana, bila Spika hakuna upiganaji wala nothing, sometimes tuwe na shukrani kwa wanaojitolea na kuweka kazi zao rehani kwa sababu ya taifa letu na sisi wananchi, lakini bila ya kupiga kelele.

- Mungu ambariki mheshimiwa Spika, maana kuna tunaoijua na kuitambua kazi yake na hasa mchango wake mzito katika vita hii dhidi ya mafisadi.
 
- Ni haki ya kila member humu kuamini anachotaka, lakini ukweli hauwezi kufichwa ni lazima usemwe wazi na wananchi wataamua, Waziri Mkuu ndiye kiongozi wa shughuli za serikali bungeni, sasa yeye na Spika wakiwa kurasa tofauti kama wakati wa mashambulizi ya Dr. Slaa ni wananchi wengine tulishagundua hilo.

- Wapiganaji ndani ya bunge wanajulikana na wote wanajuana, bila Spika hakuna upiganaji wala nothing, sometimes tuwe na shukrani kwa wanaojitolea na kuweka kazi zao rehani kwa sababu ya taifa letu na sisi wananchi, lakini bila ya kupiga kelele.

- Mungu ambariki mheshimiwa Spika, maana kuna tunaoijua na kuitambua kazi yake na hasa mchango wake mzito katika vita hii dhidi ya mafisadi.

FMES

Utapoteza muda mwingi kuelewesha miti na ikaishia kuelewa! watu no, utapoteza muda in vain

1. Sioni ubaya 'kama kweli Sita alikuwa upande wao mafisadi na leo amegeuka, Yohana mbatizaji alitumia ubatizo kama alama, wakristo leo wanatumia ubatizo wengine wanaenda mbali zaidi na kusema uokoke

Hizi zote ni alama ya kubadilika kutoka katika hali uliyopo to another dimension

2. Nijuavyo Sita kama usemavyo FMES ni mtu anayejitahidi sana , kusema kuwa Slaa alitumia uthibitisho wa internet si makosa , alitakiwa kuthibitisha kama aliyofanya viwanja vya mwembe yanga.

3. Kutaka kuwazima wale watu ambao tunawategemea katika taifa kupigana na ufisadi ni ujinga na 'umuemue' usiokuwa na maana. Nani aliyemsikia rais wa nchi, majaji, mawaziri wakiongea waziwazi namna hii?

Je watu mnajua nafasi ya spika katika taifa?? au mnapiga kelele kama mko kwenye sendoff, when he speks for something its vibrations sounds more than his voice! akisema jambo kama alivyosema anatoa meseji kali sana

hivi nauliza tena mnajua spika katika mazingira fulani anaweza akafanya au akashika nafasi ya rais??


HIVI NYIE WAGALATIA NANI ALIYEWAROGA KWA KUDHANI UFISADI ASEME SLAA TU AU ZITO TU AKISEMA SITTA KAKOSEA?? AU MKIDHANI KUZUNGUMZIA UFISADI JF NDIYO UNAKOMA?? HIVI ALIYEANDIKA KUWA SITA HASTAHILI KUPIGANA NA UFISADI NA YEYE ALIYESEMA MBELE YA WATU AKIWA SPIKA NANI ZAIDI? JE MNAOSEMA SPIKA HAFAI KUTOA MANENO HAYA TUAMBIENI MMESHASEMA WAPI KUWA UFISADI NI MBAYA WALAU BASI MBELE YA WAKE NA WATOTOT ZENU? AU MNAISHIA KUANDIKA TU HUMU JF?

HIVI HATA KAMA MWANZONI HAKUWA HIVI NA AMEBADILIKA JE HUYU SI BORA KULIKO WALE..................... AMBAO WANAJIFANYA WANAPINGANA NA UFISADI HKU MIOYO YAO IKIWAZA UFISADI??

NANI BORA SASA KATIKA VITA HII NYIE MNAOSEMEA JF AU YEYE ALIYESEMA NA MAGZETI YAMEMNUKUU NA UJUMBE UMEFIKA KUNAKO??

JAMANI BADILIKENI!!!!! we need people to change now ,we need to convert them from being wabaya kuwa wazuri hapa ndiyo lengo la JF litatimia!!
waberoya
 
FMES

Utapoteza muda mwingi kuelewesha miti na ikaishia kuelewa! watu no, utapoteza muda in vain

1. Sioni ubaya 'kama kweli Sita alikuwa upande wao mafisadi na leo amegeuka, Yohana mbatizaji alitumia ubatizo kama alama, wakristo leo wanatumia ubatizo wengine wanaenda mbali zaidi na kusema uokoke

Hizi zote ni alama ya kubadilika kutoka katika hali uliyopo to another dimension

2. Nijuavyo Sita kama usemavyo FMES ni mtu anayejitahidi sana , kusema kuwa Slaa alitumia uthibitisho wa internet si makosa , alitakiwa kuthibitisha kama aliyofanya viwanja vya mwembe yanga.

3. Kutaka kuwazima wale watu ambao tunawategemea katika taifa kupigana na ufisadi ni ujinga na 'umuemue' usiokuwa na maana. Nani aliyemsikia rais wa nchi, majaji, mawaziri wakiongea waziwazi namna hii?

Je watu mnajua nafasi ya spika katika taifa?? au mnapiga kelele kama mko kwenye sendoff, when he speks for something its vibrations sounds more than his voice! akisema jambo kama alivyosema anatoa meseji kali sana

hivi nauliza tena mnajua spika katika mazingira fulani anaweza akafanya au akashika nafasi ya rais??


HIVI NYIE WAGALATIA NANI ALIYEWAROGA KWA KUDHANI UFISADI ASEME SLAA TU AU ZITO TU AKISEMA SITTA KAKOSEA?? AU MKIDHANI KUZUNGUMZIA UFISADI JF NDIYO UNAKOMA?? HIVI ALIYEANDIKA KUWA SITA HASTAHILI KUPIGANA NA UFISADI NA YEYE ALIYESEMA MBELE YA WATU AKIWA SPIKA NANI ZAIDI? JE MNAOSEMA SPIKA HAFAI KUTOA MANENO HAYA TUAMBIENI MMESHASEMA WAPI KUWA UFISADI NI MBAYA WALAU BASI MBELE YA WAKE NA WATOTOT ZENU? AU MNAISHIA KUANDIKA TU HUMU JF?

HIVI HATA KAMA MWANZONI HAKUWA HIVI NA AMEBADILIKA JE HUYU SI BORA KULIKO WALE..................... AMBAO WANAJIFANYA WANAPINGANA NA UFISADI HKU MIOYO YAO IKIWAZA UFISADI??

NANI BORA SASA KATIKA VITA HII NYIE MNAOSEMEA JF AU YEYE ALIYESEMA NA MAGZETI YAMEMNUKUU NA UJUMBE UMEFIKA KUNAKO??

JAMANI BADILIKENI!!!!! we need people to change now ,we need to convert them from being wabaya kuwa wazuri hapa ndiyo lengo la JF litatimia!!
waberoya


Katika majumuhisho yako umefikia hitimisho zuri hasa pale uliposema "HIVI HATA KAMA MWANZONI HAKUWA HIVI NA AMEBADILIKA JE HUYU SI BORA KULIKO WALE......." Ok jibu anakuwa bora.

Lakini hapa watu anao hoji ni kuwa ,mbona maneno yake ni mazuri sana tofauti na maneno yake ya mwanzo kuhusiana na hoja hizi hizi.
Watu wana uhuru wa kuhoji hilo ,tukishangilia bila kuwa na tafukuru pana tutakuwa na tofauti gani na wagagagigikoko!
Na ktk kuhoji huku tumepana majibu mazuri tu yakiwemo ya kwako na tunaendelea mwisho kutakuwa na uelewa wa kutosha.Ila usizuie watu kuhoji ,tunajua politics is the art of governing where tactics involved in managing .
Pia usi underestimate power ya JF kusema kuwa hatuongea hadharani ila ktk hii hii mitandao tuna watu kama Mwanakijiji na kijarida cha cheche ..tunakwenda tu na tutafika.Tunaoogopa kusema hadharani tunaogopa hao wenye dola unatakiwa kujua katika vita unatakiwa kuwa ktk safe side .Sasa wao na nguvu za kusema na dola wataogopa nini kama hawanufaiki na pia ndio tuwachagua kwa hilo na kuwapa dhamana tena kama Speaker umesema wazi kuwa anaweza kumkaimu urais . Unashangaza ukitaka mimi nifanye sawa na speaker ,mimi nafasi yangu ni hapa this is my fckn battle ground na hao hanapajua huita wezetu wa internet wanaseama eti.....!

Wito uliotoa mwishoni mwema.
 
FMES

Utapoteza muda mwingi kuelewesha miti na ikaishia kuelewa! watu no, utapoteza muda in vain

1. Sioni ubaya 'kama kweli Sita alikuwa upande wao mafisadi na leo amegeuka, Yohana mbatizaji alitumia ubatizo kama alama, wakristo leo wanatumia ubatizo wengine wanaenda mbali zaidi na kusema uokoke

Hizi zote ni alama ya kubadilika kutoka katika hali uliyopo to another dimension

2. Nijuavyo Sita kama usemavyo FMES ni mtu anayejitahidi sana , kusema kuwa Slaa alitumia uthibitisho wa internet si makosa , alitakiwa kuthibitisha kama aliyofanya viwanja vya mwembe yanga.

3. Kutaka kuwazima wale watu ambao tunawategemea katika taifa kupigana na ufisadi ni ujinga na 'umuemue' usiokuwa na maana. Nani aliyemsikia rais wa nchi, majaji, mawaziri wakiongea waziwazi namna hii?

Je watu mnajua nafasi ya spika katika taifa?? au mnapiga kelele kama mko kwenye sendoff, when he speks for something its vibrations sounds more than his voice! akisema jambo kama alivyosema anatoa meseji kali sana

hivi nauliza tena mnajua spika katika mazingira fulani anaweza akafanya au akashika nafasi ya rais??


HIVI NYIE WAGALATIA NANI ALIYEWAROGA KWA KUDHANI UFISADI ASEME SLAA TU AU ZITO TU AKISEMA SITTA KAKOSEA?? AU MKIDHANI KUZUNGUMZIA UFISADI JF NDIYO UNAKOMA?? HIVI ALIYEANDIKA KUWA SITA HASTAHILI KUPIGANA NA UFISADI NA YEYE ALIYESEMA MBELE YA WATU AKIWA SPIKA NANI ZAIDI? JE MNAOSEMA SPIKA HAFAI KUTOA MANENO HAYA TUAMBIENI MMESHASEMA WAPI KUWA UFISADI NI MBAYA WALAU BASI MBELE YA WAKE NA WATOTOT ZENU? AU MNAISHIA KUANDIKA TU HUMU JF?

HIVI HATA KAMA MWANZONI HAKUWA HIVI NA AMEBADILIKA JE HUYU SI BORA KULIKO WALE..................... AMBAO WANAJIFANYA WANAPINGANA NA UFISADI HKU MIOYO YAO IKIWAZA UFISADI??

NANI BORA SASA KATIKA VITA HII NYIE MNAOSEMEA JF AU YEYE ALIYESEMA NA MAGZETI YAMEMNUKUU NA UJUMBE UMEFIKA KUNAKO??

JAMANI BADILIKENI!!!!! we need people to change now ,we need to convert them from being wabaya kuwa wazuri hapa ndiyo lengo la JF litatimia!!
waberoya


Mngekuwa mnajua mambo ya nyuma ya pazia Bungeni wala msingethubutu kumlaumu Sitta.

Aliposema ushahidi wa internet, ni uzee tu! Nanyi wengine vijana wasomi mmedakia. Hivi kwa mfano ukiquote katiba kutoka site ya serikali kujenga hoja yako Bungeni ni kosa kwa sababu huna likatiba la kitabu?

Sitta amelibadili sana Bunge hili. Kanuni zimekuwa bora zaidi. Wabunge wamekuwa huru zaidi.

Alisimamia kunisimamisha, lakini najua alijitahidi isiwe hivyo. Ilikuwa lazima asimamie maamuzi ya Bunge japo yalikuwa unpopular.

Tunamwelewa Sitta
 


Mngekuwa mnajua mambo ya nyuma ya pazia Bungeni wala msingethubutu kumlaumu Sitta.

Aliposema ushahidi wa internet, ni uzee tu! Nanyi wengine vijana wasomi mmedakia. Hivi kwa mfano ukiquote katiba kutoka site ya serikali kujenga hoja yako Bungeni ni kosa kwa sababu huna likatiba la kitabu?

Sitta amelibadili sana Bunge hili. Kanuni zimekuwa bora zaidi. Wabunge wamekuwa huru zaidi.

Alisimamia kunisimamisha, lakini najua alijitahidi isiwe hivyo. Ilikuwa lazima asimamie maamuzi ya Bunge japo yalikuwa unpopular.

Tunamwelewa Sitta


Nilifurahi sana siku alipokuwa akihojiwa kuhusu hili kwenye Television. He is a man with vision and mission. Lets guide him; tumkosoe pale inapohitajika.




Vichwa vya habari vingine vya jf very sensational! mtu hakutajwa hata jina lakini tunaambiwa "amemalizwa" kazi kweli kweli.....


Ile issue ya Mengi mlitaka kupewa majina, na hili nalo?
 
Mngekuwa mnajua mambo ya nyuma ya pazia Bungeni wala msingethubutu kumlaumu Sitta.

Aliposema ushahidi wa internet, ni uzee tu! Nanyi wengine vijana wasomi mmedakia. Hivi kwa mfano ukiquote katiba kutoka site ya serikali kujenga hoja yako Bungeni ni kosa kwa sababu huna likatiba la kitabu?

Sitta amelibadili sana Bunge hili. Kanuni zimekuwa bora zaidi. Wabunge wamekuwa huru zaidi.

Alisimamia kunisimamisha, lakini najua alijitahidi isiwe hivyo. Ilikuwa lazima asimamie maamuzi ya Bunge japo yalikuwa unpopular.

Tunamwelewa Sitta

Mh.Zitto hatuwezi jua bila kuhabarishwa ,kama hivi ulivyosema kuhusu yeye nadhani kwa asilimia kubwa utakuwa umesaidia kwa wale tuliyekuwa na shaka naye.
Kama nilivyosema hapo juu mwishoni tutafikia uelewa mzuri tu.

Shukrani kwa mchango wako mzuri.
 
Mh. Zitto sawa hayo ya nyuma ya pazia ya bunge hatuwezi kuyajua kwasababu hatuko huko. Sisi tunazungumza yale tunayoyajua; sasa hili la legislative independence na contradiction ya wabunge kuwa wajumbe wa mabodi yetu linamshindia nini kulivalia njuga? Au ndio anaogopa hao wabunge wa ccm wasije kumpiga chini kwenye uchaguzi wa spika 2010? Asiogope hilo ingawaje fisadi Lowassa na genge lake ndio wanaplot hivyo,akionesha ujasiri huo sasa ndio anajichomgea njia kuukwaa uspika tena 2010 ; akaze buti tu kwani hata hivyo wengi kati ya hawa wa CCm hawatarudi MUNGU yupo pamoja nasi!! Hata wewe Zitto unaweza kumtia kashikashi PM wakati wa maswali ya papo kwa papo kwanini hawa wabunge wa CCM wanaendelea kuwa kwenye mabodi ya mashirika ya umma [ na wewe mwenyekiti wa kamati husika] wakati serikali ilishatamka bayana bungeni [ Marmo] kuwa it is against good governance.
 
Sarakasi za Sitta zinatatiza kwelikweli. Kwa nini kauli zake za Agosti 2007 wakati wa sakata la Buzwagi zilikuwa tofauti na hizi anazotoa leo!

...Tena huyo mzee alishabikia sana kusimamishwa kwa Zitto kwa madai kuwa alijitakia kwa kutoa madai ya uongo!!!
 
Laligeni,
Well, ya nyuma ya pazia hatuwezi kuyajua, lakini kwenye pleading nakumbuka Zitto akisema kuwa anaamini Spika ni mwanasheria hivyo haki ingetendeka. Yaliyofuata si tu kuwa haki haikutendeka lakini kulionekana kuwa na conspiracy baina ya Sitta na Mudhihir. Zaidi ya hayo, baada ya kikao cha bunge, akiwa na prof.Chris Maina alisisitiza kuwa Slaa lazima apelekwe polisi. Kwa nini Slaa hajapelekwa polisi hadi leo only Sitta can tell. Inawezekana kabadilika lakini it'll take more than these cheap statements to convince me.
 
Malima amjibu Spika Sitta
• Usiri wa Mikataba

na Esther Mbussi

NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima, amesema mikataba ya uchumi na kibiashara inayosainiwa nchini, haiwezi kuwekwa wazi kutokana na ushindani wa kibiashara.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na wandishi wa habari kuhusu usiri uliopo katika utiaji saini wa mikataba ya madini ambayo katika siku za hivi karibuni imekuwa ikipigiwa kelele za kutoifaidisha nchi.

Malima ametoa kauli hiyo siku moja tu baada ya Spika wa Bunge, Samuel Sitta, kuhoji kuwepo kwa usiri katika kusaini mikataba ambayo haitoi fursa ya kutekelezwa kwa masilahi ya umma na badala yake wawekezaji wa kigeni ndiyo wanaofaidika.

Alisema kamwe mikataba hiyo haiwezi kuwa wazi wakati wa mchakato na utiaji saini lakini itawekwa wazi katika utekelezaji tu baada ya makubaliano hayo kuafikiwa.

"Kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa wananchi na hata baadhi ya viongozi wakihoji usiri wa nini na kwa faida ya nani? Ukweli ni kwamba huwezi kuweka wazi mkataba na mwekezaji katika hatua za awali kwani huwezi kujua nani atakuja na wazo kama la yule wa awali, kwa hiyo ni ushindani wa kibiashara na si vinginevyo, kitakachowekwa wazi ni utekelezaji, kwa wabunge na wananchi kwa ujumla," alisema Malima.

Alisema katika biashara kuna watu husikiliza nani anataka kufanya nini, kwa hiyo kuwekwa wazi kwa mikataba hiyo kunaweza kuathiri nchi kukosa wawekezaji kutokana na mwekezaji mwingine kuchukua siri au wazo la mwenzake na kumzunguka.

"Kinachofanyika kabla ya kusaini mkataba wewe kama mwekezaji ni kupata maelezo yako, kwamba utafanya hili na lile, utalipaje kodi, na vitu kama hivyo, kwa hiyo kujianika kwako hadharani (mwekezaji), ni kumuwezesha mwenzako kutaka kufanya ulichokusudia, hakuna mazingira ya rushwa wala kuuza nchi katika suala la kusaini mikataba," alisema Malima.

Moja ya mikataba ya siri iliyowahi kufanywa ni ule wa mgodi wa Buzwagi unaomilikiwa na Kampuni ya Barrick ya Uingereza, uliosainiwa na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, aliyejiuzulu Februari mwaka huu, Nazir Karamagi.

Juzi, Sitta alisema kuna makubaliano baina ya serikali na ofisi ya Bunge yaliyofikiwa kuwa mikataba yote ya maendeleo waziri husika anapaswa kumpatia Katibu wa Bunge ambaye ametengewa masijala mahususi ya wabunge kuona mikataba hiyo.

"Kuna mantiki gani kwa waziri kwenda ughaibuni na kutuambia kuwa anakwenda kusaini mkataba wenye masilahi yetu wananchi na baadaye akirejea atuambie walichokubaliana ni siri, hata kwa wawakilishi wetu, yaani wabunge? "Tutapimaje kama masilahi ya nchi yamezingatiwa au mhusika amekwenda kuiuza nchi?" alisema Spika.

Alisema wanaoendeleza dhana ya usiri dhidi ya mwenye mali ambaye ni mwananchi, wanalo jambo na wasakamwe ili waache mizengwe, usiri wa namna hiyo ndiyo unasababisha wanahabari kuandika habari za kuhisi au kile wanachokiamini kuwa ni sahihi.

Sitta aliishauri serikali kuweka utaratibu ulio wazi kwa kila wizara kuwa na dawati la taarifa, ambapo wanahabari na wananchi wataweza kupata habari za uhakika kuhusu utekelezaji wa majukumu yaliyo chini ya wizara hizo.


My take -Mikataba na ushindani, wapi na wapi ama anamaanisha tenda ? Kwa tamko hili Malima amechemsha na ama aombe radhi au ajiuzulu.
 
Back
Top Bottom