Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 124
Jamaa wametuweza kweli, wamefanikiwa kututoa kwenye objective yetu ya kuikomboa nchi hii sasa tumebaki tunarumbana rumbana kuhusu nani kasema hili au lile.
hawa wote wanaogombana ni chama kimoja basi tuwafungie pazia na kuanza kupanga jinsi ya kyuuikomboa nchi hii. Tuna watu wengi sana wa kuweza kuikomboa nchi hii na wengine hata hawajingia kwenye siasa bado sasa. Tunaitaji kuwasha roho ya mapinduzi na siyo mipasho.
Ukiangalia kwa karibu sana utaona kuwa strategy ya mafisadi inaanza kushinda kwani wanatuchagulia topic za kudiscuss na muda wa kuwa kwenye marumbano, sisi wenyewe hatuwezi kupanga chochote cha kuikomboa nchi hii.
Vibaraka wao wakutuchanganya tunawajua na wanakuja hapa na matusi na kejeli nasi tunahamaki na kuanza kupoteza muda kujibishana nao tukizani kuwa tunajibu mapigo kumbe ndiyo tunacheza wimbo wanautaka. Mali zetu wanaendelea kutuibia na uchaguzi watashinda. Halafu wataleta drama za kuwa kuna makundi kati ya wapiganaji na mafisadi cha ajabu wote wanang'ang'ania kuwa katika chama kimoja si kituko hicho. malaika anapotaka kuendelea kushare table na Lucifer
hawa wote wanaogombana ni chama kimoja basi tuwafungie pazia na kuanza kupanga jinsi ya kyuuikomboa nchi hii. Tuna watu wengi sana wa kuweza kuikomboa nchi hii na wengine hata hawajingia kwenye siasa bado sasa. Tunaitaji kuwasha roho ya mapinduzi na siyo mipasho.
Ukiangalia kwa karibu sana utaona kuwa strategy ya mafisadi inaanza kushinda kwani wanatuchagulia topic za kudiscuss na muda wa kuwa kwenye marumbano, sisi wenyewe hatuwezi kupanga chochote cha kuikomboa nchi hii.
Vibaraka wao wakutuchanganya tunawajua na wanakuja hapa na matusi na kejeli nasi tunahamaki na kuanza kupoteza muda kujibishana nao tukizani kuwa tunajibu mapigo kumbe ndiyo tunacheza wimbo wanautaka. Mali zetu wanaendelea kutuibia na uchaguzi watashinda. Halafu wataleta drama za kuwa kuna makundi kati ya wapiganaji na mafisadi cha ajabu wote wanang'ang'ania kuwa katika chama kimoja si kituko hicho. malaika anapotaka kuendelea kushare table na Lucifer