nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Sikuamini wala sinta kaa niamini,hivi kweli serikali hii itatusaidia katika gurudumu la maendeleo kama mdhibiti mkuu wa seria serikalini nae anadiriki kutetea kupindishwa kwa sheria?tena za bunge, hatari sana,''Mheshimiwa Spika,nimevumilia kwa muda mrefu na vya kutosha sasa ni wakati wa kuchukua hatua tena kali, hivyo naomba sajent of arms itumike hapa''.Mikataba mibovu itakwisha kweli,Mishahara hewa itakwisha kweli,dhuluma ya rasilimali ya Tanzania itakwisha kweli,wanyonge na masikini watapa haki zao kweli,sheria itawalinda wananchi kweli,hapa hakuna kitu,watanzania tukazane tuwasaidie wabunge wa CHADEMA na viongozi wao kuhakikisha mambo yanarudi kwenye msitari,ni aibu sana kwa Spika,Mwanasheria mkuu wa serikali na wabunge wa CCM maana nao walikazana kuhakikisha Wenje Anaadhibiwa vikali na kutoa vijembe vya kila aina,huku wakijua wanavunja sheria jamani ni wabunge gani hawa wanaotetea maovu ya sheria tena ndani ya bunge nawapongeza CDM kwa kusimamia ukweli songeni mbele kazi yenu ilionekana Wenje hakuadhibiwa na sheria hatimae ilifuatwa,na wengi walioshabikia na kutoa vitisho walikaa kimya.