Elections 2010 Spika mwenye sifa zifuatazo ndiye anayetafutwa na ccm

Gwallo

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
3,200
3,761
1.Spika atakayelinda maslahi ya mafisadi.
2.Spika ambaye hataruhusu mijadala aina ya richmond,epa,meremeta,tangold,mikataba mibovu ya madini,vitalu vya wanyamapori n.k.....
3.Spika ambaye yuko tayari kuwa remoted na mafisadi.
4.
5.
6.
CCM makini, Chadema, NCCR,TLP,UDP CUF tafadhali kura yako iamue aina ya spika atakayefaa kwa taifa hili na hali yake.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki bunge letu,Mungu yabatilishe mawazo ya mafisadi na njama zao. Amen!!!!!!!
 
i am not interested, huna data


Technology
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-online.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateTue Oct 2010Posts9Thanks0Thanked 1 Time in 1 Post Rep Power0
 
1.Spika atakayelinda maslahi ya mafisadi.
2.Spika ambaye hataruhusu mijadala aina ya richmond,epa,meremeta,tangold,mikataba mibovu ya madini,vitalu vya wanyamapori n.k.....
3.Spika ambaye yuko tayari kuwa remoted na mafisadi.
4.
5.
6.
CCM makini, Chadema, NCCR,TLP,UDP CUF tafadhali kura yako iamue aina ya spika atakayefaa kwa taifa hili na hali yake.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki bunge letu,Mungu yabatilishe mawazo ya mafisadi na njama zao. Amen!!!!!!!

Wao wamesema sifa kubwa ya spika mwaka huu ni kuwa mwanamke kwa hiyo kinachoangaliwa ni uanamke. Haya mengine hawajasema labda tutashhudia bunge likianza kazi zake.
 
Back
Top Bottom