Naomba maelezo kidogo jinsi alivyoua mashirika ya umma.
Angalia CV yake kwenye tovuti ya bunge au fuatilia ile thread iliyoandikwa Makinda Profile.
Naomba maelezo kidogo jinsi alivyoua mashirika ya umma.
[/SIZE]
Nami nashangaa kama kweli hili ni jambo la kujadili. Sheria inakitaja chama na siyo muungano wa vyama. Hata kama hao wengine wataungana, hiyo haitatambulika. Tunataka chama chenye viti vingi bungeni. FINITO.
[/SIZE]
Nami nashangaa kama kweli hili ni jambo la kujadili. Sheria inakitaja chama na siyo muungano wa vyama. Hata kama hao wengine wataungana, hiyo haitatambulika. Tunataka chama chenye viti vingi bungeni. FINITO.
Punguza huruma.
Kumbuka hata Idd Amin na Adolf Hitler walikuwa na familia zao. Vipi Sadam Hussein?
na hii ndoa ya cuf na ccm itadumu miaka 5 tu then talaka 3 zitafata.
sijui wakoje wapinzani wa tanzania yaani ni hovyo hovyo!!!
Kanuni zinairuhusu Chadema kuwa ndio the main opposition lakini logic bado inagomba. Hivyo Mbowe ameshakabidhiwa ofisi,gari na watumishi ila kuna taratibu hawajakamilisha hivyo kukosa legitimacy.Pasco ipi Batili?
Ya CHADEMA au ya CUF na Wabia wake?
hawajakamilisha hivyo kukosa legitimacy.
Kanuni zinairuhusu Chadema kuwa ndio the main opposition lakini logic bado inagomba. Hivyo Mbowe ameshakabidhiwa ofisi,gari na watumishi ila kuna taratibu hawajakamilisha hivyo kukosa legitimacy.
Chadema wanazo sifa zote za kuwa chama kikuu cha upinzani. Hii maana yake ni Chadema pekee ndio wataunda serikali kivuli. Pia Chadema ndio wataongoza zile kamati 3 za PAC, LGAC na Parastal.inamaanisha UDP, CUF, NCCR na TLP vinakuwa jobless.kambi rasmi ili isiwe batili inatakiwa iweje?
Well my brother Huwezi ukamlinganisha saadam hussein au Idi Amini na Anna Makinda....Anna Makinda hajamfanyia mtu yeyote kile kitu kibaya hadi mtu atokee kuanza kumtukana hivyo....Angekuwa amefanya what Iddi Amini,Hitler au Saadam hussein walivyofanya then mtu angekuwa na haki ya kufanya anachofanya yeye kuwa spika wa Bunge ndiyo inaleta chuki binafsi?....Kuna vitu vingi vya kujadili mtu anatoka from no where na kuanza kurusha maneno ya kashfa that is an acceptable.
kambi ya upinzani iliyotangazwa bado ni batili, haijatambulika rasmi. Upinzani ni shaghala baghala,
Mkuu Ngongo, muda tuliompa unatosha au tuendelee kumpa zaidi?.Watanzania watakuwa hawamtedei haki Anna Makinda kabla kipenge hakijapulizwa tayari malalamiko kibao ebu tumpe muda tumpime utendaji wake anaweza kuwashangaza mafisadi wakajuta kumtosa Six.
wapi na wapi yle mama ni mbishi sana na huwa anaongea kama anaongea na watot wa shule yaani ni kama
headmistress vile
Mkuu Edson, nafanya rejea kupima kama hii miaka mitano mama atamaliza, I wish aondoke kwa amani na sio kwa pressure!.anaongopa! mbona watammaliza fasta.
hatamaliza miaka 5 kama ndo hivyo