Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,919
- 31,161
huyu mama ni mmoja wa watu walioua mashirika mengi ya umma miaka ya 70 hadi 80
HAFAI
Naomba maelezo kidogo jinsi alivyoua mashirika ya umma.
huyu mama ni mmoja wa watu walioua mashirika mengi ya umma miaka ya 70 hadi 80
HAFAI
kambonda Sitta kwa matumizi mabaya ya fedha na kurefusha mijadala kama ule wa richmond unnecesarily, amesema bunge lake, atahitaji mijadala kama richmond mingine kumi, sio ule mmoja tuu wa richmond.
Amesisitiza hajawekwa na mtu, hamtumikii mtu na hawezi kuondolewa na mtu, ametangaza 2015 hagombei Ubunge, anastaaafu.
Press Conference imeisha, anaelekea bungeni sasa.
Amesisitiza hajawekwa na mtu, hamtumikii mtu na hawezi kuondolewa na mtu, ametangaza 2015 hagombei Ubunge, anastaaafu.
Press Conference imeisha, anaelekea bungeni sasa.
kambonda Sitta kwa matumizi mabaya ya fedha na kurefusha mijadala kama ule wa richmond unnecesarily, amesema bunge lake, atahitaji mijadala kama richmond mingine kumi, sio ule mmoja tuu wa richmond.
jamni mnaona kifaa hiki? namuamini sana huyu mama. acheni unafiki, nani hakukereka na mijadala kurefushwa unnecesarily na mwishoni kuisha kisanii kama wa
1. richmond
2. Mengi na malima (ulitagfuna milion 100 unecessarily!)
3. mkapa na kiwira
3. nk.
at least huyu mama namuamini, hataruhusu upumbavu kama ule! hakika ukombozi wa fedha za wananchi umeingia bungeni!
Amewaponda wapinzani kuwa bado ni laini, anataka wapinzani wawe makini. Kama kuna hoja za ukweli ziwe za ukweli sio waje na hoja laini laini wakipigwa chini ndio wanalia lia. Amewataka wapinzani kujenga nguvu za hoja na sio hoja za nguvu.
Amesisitiza hajawekwa na mtu, hamtumikii mtu na hawezi kuondolewa na mtu, ametangaza 2015 hagombei Ubunge, anastaaafu.
Press Conference imeisha, anaelekea bungeni sasa.
Amesisitiza hajawekwa na mtu, hamtumikii mtu na hawezi kuondolewa na mtu, ametangaza 2015 hagombei Ubunge, anastaaafu.
Press Conference imeisha, anaelekea bungeni sasa.
Mkuu hata wakiongezewa idadi yao haiwazidi ya CHADEMA
CUF+NCCR+TLP+UDP=32+4+1+1=38
CHADEMA peke yao wako 45, kwa hiyo NO way huo Muungano mwingine utaweza kuchukua power, labda sheria zifinyangwe finyangwe
vipaumbele vya Makinda.
1.huduma bora za wabunge.
2.value for money
3. Capacity building kwa wabunge.
huyu mama ni mmoja wa watu walioua mashirika mengi ya umma miaka ya 70 hadi 80
HAFAI
kambonda Sitta kwa matumizi mabaya ya fedha na kurefusha mijadala kama ule wa richmond unnecesarily, amesema bunge lake, atahitaji mijadala kama richmond mingine kumi, sio ule mmoja tuu wa richmond.
vipaumbele vya Makinda.
1.huduma bora za wabunge.
2.value for money
3. Capacity building kwa wabunge.