DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Nafuatilia bunge,baada ya Kamanda Lissu kumaliza hotuba ya kambi rasmi juu ya marekebisho ya rasimu ya katiba bi mkubwa akasimama akasema 'huo ndo ukweli wenyewe na hao ndo wakweli tuwaunge mkono' kwa hili laonekana hawa jamaa wa magamba wameshinikizwa kuujadili hawana jinsi,namsubiria tena leo Mama Kilango aliyeshadadia mwaka jana na kuiponda chadema je atasemaje.CDM 4EVA