nakyoganzala
Member
- Jul 15, 2012
- 6
- 0
:spy::spy:Kwa kweli spika wa tanzania amezidi kudakiadakia wakati wabunge wanatoa michango yao haoni kama ana jishushia heshima? Hana washauri wa kumweleza wadhifa huo ni mkubwa na unahitaji mtu mwenye kifua na mvumilivu. Pia ajue anaongoza watu na heshima zao awakosoe kwa makini na kama anaongea na viongozi waliochaguliwa na wananchi naakili zao......................................................... tabia hiyo ikomeeeeeee:spy::spy: