S.Liondo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,408
- 1,712
Hakuna dhuluma isiyo na mwisho, na kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. CCM wamepigwa upofu, hawaoni kwamba hivi karibuni wanaenda kuwa chama cha upinzani na huenda wakalazimika kukalio moto ule ule waliouwasha. Nimefuatilia sana bunge hili yaani upendeleo ni wa wazi kabisa.