mutabilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 305
- 80
Mimi cku zote uwa nasema hv ""IF YOU FIGHT WITH A NATURE THE NATURE WILL KILLS YOU"" Mama makinda nakushauri usome alama za nyakati kuwa nature kwa sasa haitaki uegemee upande wowote acha watu waeleze lilio moyoni, kuwa mwepesi kama Sita be wise onyesha utashi wako, nature itakuumbua ukiendelea namna hii, sikiliza unayoambiwa na wananchi/Wabungr badilika,make hao ndo nature yenyewe la sivyo utaishia pabaya mamaa,,,Huu ni ushauri wa bure tu mama!!!!!