Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kwani Mbunge linakiuka katiba ya nchi?
Lugha ya taifa ni kiswahili
Lugha ya taifa ni kiswahili
Fafanua hapo kwenye red mkuuCku hiz hakuna sahihi. Membe amuunga mkono Mdee. 2meshinda
kama 10...lolHapo kwenye red - 'Like father like children'. Baba yao JK anapenda sana kuitwa Dr? Hivi amefikisha doctorate pipi ngapi?
Kama Mtanzania naona aibu wabunge kukubaliana kutumia Kiingereza bugeni badala ya Kiswahili. Uamuzi huu ni hatua 10 nyuma kukifanya Kiswahili kuwa lugha ya Taifa kweli.
kama 10...lol
hapo tena cheche za 'magamba' zinaanza kuonekana, kumbe mtu akiwa kwenye 'nyumba' yenye vioo vya kijani akiangalia nje anadhani na jua ni la kijani bali akitoka nje anaanza kuona ukweli!Cku hiz hakuna sahihi. Membe amuunga mkono Mdee. 2meshinda
Kwani siku hizi anajiita Dr Lisu...mimi ninavyo jua mambo haya yako CCM tu hasa Kwa Dr JMK fake....Kwani Tundu yeye ana UDR?
Zitto bado ni mhimu sana kwa CDM kuliko wengi wanavyo dhani kwamba si lolote si chochote...Yan zitto kiboko
Hujasikia Mabaunsa kule tegeta walivyo fanyiwa dawa nguvu ya umma tu na viwembe....lolKama hali ndio hii, ubaunsa uwe sifa ya mgombea wa ubunge kwani kupigana kunakuja mda si mrefu.
Kati ya nani na nani...hata hivyo hatuko mbali vitu kama hivyo utavishuhudia....kama KenyaMi nilitaka upigwe mkono watu waheshmiane