mama makinda anataka kuendesha bunge kama darasa la chekechea.
Na bado...mpaka tufike hapa ndio watu watashika adabu!
Cku hiz hakuna sahihi. Membe amuunga mkono Mdee. 2meshinda
Huyo si anahsira za kutemwa? Yeye ni mmojawapo wa gamba.
MMh siamini"Tatizo jingine ninyi wa Chadema ni kwamba huwa mmejipanga kwamba huyu akazungumze hiki na huyu akazungumze kile kwa hiyo mnakurupuka sana wakati mwingine." ni baadhi ya maneno aliyotoa spika Makinda bungeni,hata kama mimi sio mfuasi wa chadema,naona bunge lisitumike kwa maslahi ya kundi fulani hii inaonyesha huyu mama hayuko makini,ushauri wangu wa bure huyu mama ajivue gamba mapema kabla bunge halijazidi kuharibika
mimi hapo mgeni...There are currently 190 users browsing this thread. (71 members and 119 guests)
Yaan huku bunge linaendelea Zitto yuko JF, Je kweli tuna wabunge?
- Zitto (10.22.10)