Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Spika na Katibu wa Bunge wamempuuza mbunge wa Ubungo juu ya madai yake ya mara kwa mara kuwa kanuni za bunge zinapaswa kurekebishwa kabla ya uteuzi wa wagombea wa uchaguzi wa Afrika Mashariki. Mnyika amedai kwenye vyombo vya habari kuwa aliwasilisha mapendekezo mwezi Februari.
Mnyika anadai kuwa kanuni za uchaguzi huo zinakasoro nyingi. Anadai pia kanuni hizo zinatoa kiti kimoja kwa upinzani badala ya viwili huku mwakilishi huyo wa upinzani akichaguliwa na wabunge wote wengi wao wakiwa wa CCM. Spika na Katibu wa Bunge wamempuuza kwa kuwa hajui kuwa CCM ndio chama kilichoshinda kwenye uchaguzi wa 2010 hivyo kina mamlaka ya kuamua ni wakina nani toka vyama gani wawakilishe Tanzania kwenye bunge hilo.
.......ndiyohiyo
Mnyika anadai kuwa kanuni za uchaguzi huo zinakasoro nyingi. Anadai pia kanuni hizo zinatoa kiti kimoja kwa upinzani badala ya viwili huku mwakilishi huyo wa upinzani akichaguliwa na wabunge wote wengi wao wakiwa wa CCM. Spika na Katibu wa Bunge wamempuuza kwa kuwa hajui kuwa CCM ndio chama kilichoshinda kwenye uchaguzi wa 2010 hivyo kina mamlaka ya kuamua ni wakina nani toka vyama gani wawakilishe Tanzania kwenye bunge hilo.
.......ndiyohiyo