NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Hii ya leo kali Spika Six kawaalika wabunge kwenye viwanja vya bunge kwenye part ya kupitisha bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zake(Tamisemi na bunge) wakiimbiwa muzik na Mbilia Bel.
Hata hivyo Six amewashauri wabunge sio lazima waje na wake zao kwani wanaweza kuja na vidosho na wenza wao.
Je hii imekaa sawa? ukizingatia tumeona hivi karibuni Magavana kwenye majimbo huko marekani wakijiuzulu
Halafu kuna hili na PM kumwita Mama Kidosho wake Mhh..... hapa pagumu
Hata hivyo Six amewashauri wabunge sio lazima waje na wake zao kwani wanaweza kuja na vidosho na wenza wao.
Je hii imekaa sawa? ukizingatia tumeona hivi karibuni Magavana kwenye majimbo huko marekani wakijiuzulu
Halafu kuna hili na PM kumwita Mama Kidosho wake Mhh..... hapa pagumu