Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Katika historia ya nchi yetu, bunge la 10 litakuwa bunge la umuhimu wa kipekee!!! kutokana na miongoni mwa sababu ni hizi hapa chini:-
1) Ni bunge la kwanza kuwa na serikali mbili, moja ndani ya bunge,serikali kivuli (CDM) na serikali tawala (CCM) upande wa pili!!!!!!!!!Uzoefu wa kipindi cha ufunguzi wa bunge hili umeonyesha dalili za mtafaruku mkubwa wa mijadadala-very hot discussions!!!!!!!!!!!!!!!.
Kwa siku za kwaza mijadala ya bunge hili itatawaliwa kwa sehemu kubwa sana na agenda za:-
(a) Sharti la CDM kutaka iundwe tume huru kuchunguza uhalali wa matokeo yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi-hoja ambayo inabeba maslahi makubwa ya taifa hili; kuna mambo ya msingi, kama vile kupata majibu ya maswali yanayoulizwa na wananchi wengi kutaka kujua kwa nini ni wapigakura milioni 8 tu ndiyo waliopiga kura kati ya milioni karibu 20 waliojiandikisha, ukizingatia kwamba uhamasishaji uliofanyika ni wa kihistoria!!!!!
(b) Dai la kuandika katiba mpya ambayo itaambatana na kupatikana tume mpya huru ya uchaguzi-nyenzo ambazo kwa sisiemu ni mwiba!!!!!!!!!!!!!!! lakini hoja za msingi kwa uhai na afya ya taifa letu; tukumbuke kwamba ni nchi yetu tu katika Afrika Mashariki iliyobaki na katiba chakavu na tume ya uchaguzi isiyoendana matakwa ya jamii!!!!
(c) Bado kuna viporo vya EPA,Richmond, Kagoda, Buzwagi, Bulyankulu nk ambavyo vitavuta hot discussions na hisia za wengi sana ndani na nje ya nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
(d) Spika Anna Makinda na Naibu wake siyo wanasheria kwa weledi wakati mijadala mingi itatawaliwa lugha za kisheria na hata maamuzi ya spika kutakiwa kuwa ya kisheria katika maeneo mengine ya papo kwa papo !!!!!!!!!!kama kutajitokeza Udhaifu wa spika na Naibu wake kutokuwa wepesi kutoa maamuzi ya kudumisha fairness; kama hili litatokea kuwa obstacle ya fair management ya vikao vya bunge, mimi naona hata uwezekano wa kufikia hatua za serikali kivuli (CDM) kuleta hoja za kutokuwa na imani na spika na naibu wake kwa madai ya kukandamiza upinzani, na uwezekano wa kuingiza bunge kwenye pande mbili zinazovutana!!!!!!!!!! na kupoteza mwelekeo wa constructive discussions; mfano mmoja mdogo kwenye kikao cha ufunguzi ni lile la Sophia Simba kwa bunge la SADC, CDM walibaini kuwa kanuni ya bunge ya uchaguzi imevunjwa lakini naibu spika akaamua kutumia nguvu ya kiti cha spika kuhalalisha uwakalishi batili-mambo kama haya ya spika kutumia nguvu badala ya sheria na haki ni moja ya sababu zinazonifanya kumwona Spika Anna Makinda kukalia kuti kavu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
:angry:
1) Ni bunge la kwanza kuwa na serikali mbili, moja ndani ya bunge,serikali kivuli (CDM) na serikali tawala (CCM) upande wa pili!!!!!!!!!Uzoefu wa kipindi cha ufunguzi wa bunge hili umeonyesha dalili za mtafaruku mkubwa wa mijadadala-very hot discussions!!!!!!!!!!!!!!!.
Kwa siku za kwaza mijadala ya bunge hili itatawaliwa kwa sehemu kubwa sana na agenda za:-
(a) Sharti la CDM kutaka iundwe tume huru kuchunguza uhalali wa matokeo yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi-hoja ambayo inabeba maslahi makubwa ya taifa hili; kuna mambo ya msingi, kama vile kupata majibu ya maswali yanayoulizwa na wananchi wengi kutaka kujua kwa nini ni wapigakura milioni 8 tu ndiyo waliopiga kura kati ya milioni karibu 20 waliojiandikisha, ukizingatia kwamba uhamasishaji uliofanyika ni wa kihistoria!!!!!
(b) Dai la kuandika katiba mpya ambayo itaambatana na kupatikana tume mpya huru ya uchaguzi-nyenzo ambazo kwa sisiemu ni mwiba!!!!!!!!!!!!!!! lakini hoja za msingi kwa uhai na afya ya taifa letu; tukumbuke kwamba ni nchi yetu tu katika Afrika Mashariki iliyobaki na katiba chakavu na tume ya uchaguzi isiyoendana matakwa ya jamii!!!!
(c) Bado kuna viporo vya EPA,Richmond, Kagoda, Buzwagi, Bulyankulu nk ambavyo vitavuta hot discussions na hisia za wengi sana ndani na nje ya nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
(d) Spika Anna Makinda na Naibu wake siyo wanasheria kwa weledi wakati mijadala mingi itatawaliwa lugha za kisheria na hata maamuzi ya spika kutakiwa kuwa ya kisheria katika maeneo mengine ya papo kwa papo !!!!!!!!!!kama kutajitokeza Udhaifu wa spika na Naibu wake kutokuwa wepesi kutoa maamuzi ya kudumisha fairness; kama hili litatokea kuwa obstacle ya fair management ya vikao vya bunge, mimi naona hata uwezekano wa kufikia hatua za serikali kivuli (CDM) kuleta hoja za kutokuwa na imani na spika na naibu wake kwa madai ya kukandamiza upinzani, na uwezekano wa kuingiza bunge kwenye pande mbili zinazovutana!!!!!!!!!! na kupoteza mwelekeo wa constructive discussions; mfano mmoja mdogo kwenye kikao cha ufunguzi ni lile la Sophia Simba kwa bunge la SADC, CDM walibaini kuwa kanuni ya bunge ya uchaguzi imevunjwa lakini naibu spika akaamua kutumia nguvu ya kiti cha spika kuhalalisha uwakalishi batili-mambo kama haya ya spika kutumia nguvu badala ya sheria na haki ni moja ya sababu zinazonifanya kumwona Spika Anna Makinda kukalia kuti kavu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
:angry: