Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Mama nadhani sasa utakuwa umepata Moyo wa Nyama na kujali wanyonge Bibi R.I.P
Its bad news! But good news is that KURA MOJA YA CCM INAPUNGUA
Mmmhhhhhhh............
You need the Holy Spirit...
Wacha....Huyu bibi kakukosea nini kwani?....
pole anna kwa kufiwa na mamako!
Unafiki wa JF kila uchwao tunalalamika kwamba huyu mama spika hana huruma na malalamiko ya Watanzania na yuko kwenye kundi la mafisadi katika kuona keki ya Taifa inaliwa na wenye meno makali leo mnaanza kutoa pole za kinafiki S t u p i d i d i o t s. Unafiki mtupu!
Wale wanaokufa kila siku kwenye ajali na magonjwa ambayo yangeweza kabisa kutibika lakini kwa sababu ya watu kama Makinda wanatumia rasilmali za taifa kwenye matumbo yao bila kujali watoto wa nchi hii Je?
Hakuna pole hapa ndio afahamu pamoja na kula keki ya taifa kwa dhambi hawataweza kuishi milele hapa duniani.
Unafiki wa JF kila uchwao tunalalamika kwamba huyu mama spika hana huruma na malalamiko ya Watanzania na yuko kwenye kundi la mafisadi katika kuona keki ya Taifa inaliwa na wenye meno makali leo mnaanza kutoa pole za kinafiki S t u p i d i d i o t s. Unafiki mtupu!
Wale wanaokufa kila siku kwenye ajali na magonjwa ambayo yangeweza kabisa kutibika lakini kwa sababu ya watu kama Makinda wanatumia rasilmali za taifa kwenye matumbo yao bila kujali watoto wa nchi hii Je?
Hakuna pole hapa ndio afahamu pamoja na kula keki ya taifa kwa dhambi hawataweza kuishi milele hapa duniani.
Sasa huyo bibi wa watu marehemu anahusikaje na tuhuma hizo ndugu yangu?
bro punguza jazba. Huu ni msiba wa bibi
Mmmhhhhhhh............
You need the Holy Spirit...
Wacha....Huyu bibi kakukosea nini kwani?....
R.I.P bibi Tulakala Milia Sanyuha.....Raha ya milele umpe ee bwana na Mwanga wa milele umuangazie bibi yetu,apumzike kwa amani......Amina
Hii chuki yako imepitiliza mpaka kufurahia kifo cha mwanadamu mwenzako? hebu fikiria ungekuwa huu msiba unakuhusu. Hivi huyu mama yake ndiye aliyekukosea au mafisadi.
Mama Anna Pole sana mama yetu tunaomba Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
wewe una matatizo ya ubongo.