Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Nadhani jamaa wamepatia sana kumkabidhi Zitto jukumu la kuongoza uchunguzi wa UDA natumaini atatutendea haki watz kwa kuweka ukweli na uwazi
Katika hizo taasisi 1 - 5 ulizotaja ipi unaiamini/inaaminika na kwa kiwango gani?
Issue sio ipi inaaminika. Issue ni inaonyesha hatuaminiani Kwa nini taasisi 5 zichukunguze the same issue. umeona wapi hiyo?
Hapo sasa mwenye kipele kapewa kucha! Kamati ya Zito ni ya mashirika ya umma likiwemo shirika la UDA. Kwahiyo kamati yake ndio ilistahili hasa kufanya huo uchunguzi na sio vinginevyo! Haya maoni kwamba wanadivert hoja yake ya meremete, Zito ndiye aliyeibua au Zito anapendwa na spika sio sahihi sana. Kamati ya Zito ndio inayokagua hesabu za mashirika ya umma na ndio maana amepewa hiyo kazi yeye kama M/kiti.
Tusubiri matokeo sasa maana kipele kimeshapata mkunaji!