POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Wakuu! Asubuh bungeni wakati wakijadili mswada wa namna ya kutunga sheria ya kusimamia rasmu ya katiba, Zitto aliomba muongozo wa spika, na kusema kuwa, ni vema wabunge wakapata muda wa kwenda kujadili na wapiga kula wao ili wananchi washirikishwe toka mwanzo.
{ Zitto alitoa wazo zuri}
ANAUMBULIWA:
Spika Makinda, alisema wazi wazi kuwa zitto alikuwa ni miungoni mwa wajumbe, aliomba mswada huo upelekwe bungeni kwa hati ya dharura.
My take:
kwa nini Zitto hakuliona swala la wapiga kura ndani ya kamati kabla ya bungeni wakati anapendekeza hati ya dharura...
Akiwa kwenye kamati zake mtu mwingine akiwa bungeni kiini macho!?
{ Zitto alitoa wazo zuri}
ANAUMBULIWA:
Spika Makinda, alisema wazi wazi kuwa zitto alikuwa ni miungoni mwa wajumbe, aliomba mswada huo upelekwe bungeni kwa hati ya dharura.
My take:
kwa nini Zitto hakuliona swala la wapiga kura ndani ya kamati kabla ya bungeni wakati anapendekeza hati ya dharura...
Akiwa kwenye kamati zake mtu mwingine akiwa bungeni kiini macho!?