Kiungani
JF-Expert Member
- Feb 2, 2007
- 274
- 71
kwa vile Rais bado ana nafasi mbili za kuteua wabunge, miye naomba hako kanafasi kamoja. Hiyo inaweza kuninyamazisha hapa JF na kunifungulia Bungeni.
Mkjj, wajanja hao wataku-balali au wataku-kolimba kabisa kwanza kabla ya kukupa hiyo nafasi ya kuji-fisadi! Hawawezi kuku-dito kwani itaibua kelele nyingi!