Achahasira
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,213
- 214
habari zenu wakuu,
mimi ni mteja wa internet katika mitandao mbalimbali tanzania, kasi ya internet imekuwa si nzuri kwa muda mrefu kweli.
juzi nilijiunga na kifurushi cha vodacom cha bomba7,nilijiunga kwenye sim yangu ya htc android,sema kweli siku amini spidi niliye iona.ni ya kasi ya ajabu hapa mitaa ya mikocheni na kijito nyama ambapo nimepata fursa ya kujaribu kuangalia spidi ya vodacom na airtel.
vodacom nilipo weka 3g ikaonesha 4g kwenye sim na nilipo anza ku download spidi ilifika hadi 7mbs, lkn mda mwingi inacheza kwenye 5mbs.
nilipo kuwa iringa mjini voda iligonga 500 kbs,
airtel spidi dar ni 400 kbs na iringa 45 kbs.
nimeweka picha hapo chini,
mimi sio nimekuja kuipigia kampeni voda lkn naona wanahaki ya kupongezwa kwa hili.
kweli kazi ni kwako.
mimi ni mteja wa internet katika mitandao mbalimbali tanzania, kasi ya internet imekuwa si nzuri kwa muda mrefu kweli.
juzi nilijiunga na kifurushi cha vodacom cha bomba7,nilijiunga kwenye sim yangu ya htc android,sema kweli siku amini spidi niliye iona.ni ya kasi ya ajabu hapa mitaa ya mikocheni na kijito nyama ambapo nimepata fursa ya kujaribu kuangalia spidi ya vodacom na airtel.
vodacom nilipo weka 3g ikaonesha 4g kwenye sim na nilipo anza ku download spidi ilifika hadi 7mbs, lkn mda mwingi inacheza kwenye 5mbs.
nilipo kuwa iringa mjini voda iligonga 500 kbs,
airtel spidi dar ni 400 kbs na iringa 45 kbs.
nimeweka picha hapo chini,
mimi sio nimekuja kuipigia kampeni voda lkn naona wanahaki ya kupongezwa kwa hili.
kweli kazi ni kwako.