Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
- Thread starter
- #81
Anna Maria njoo uchukue kwangu, lakini sharti nimuone kwanza.
umuone nani? huyo rafiki yangu ama mtoto atakapozaliwa?
Anna Maria njoo uchukue kwangu, lakini sharti nimuone kwanza.
Kwenye highlight, kumuona sura yake ruksa?On BEHALF of my dear good FRIEND naomba kutuma maombi ya sperm donor....
Vigezo
Formost::::God fearing
1.Msomi (Geek)
2.Good looking (this is subjective so u will have to send ur picture ili muhusika aamue kama ameridhika)
3.Athletic
4.Great Personality
5.Generous and loving by heart
kwa aliye tayari atapata masharti zaidi PM
NB. Tafadhali volunteer jua kuwa hautaruhusiwa kuonana na mtoto atakapozaliwa na kama ikitokea imebidi basi mtoto atakufahamu kana Uncle
Pili. hautakutana kimwili na mlengwa bali utalazimika ku donate sperms zako.
NAWASILISHA
NN
Kwenye highlight, kumuona sura yake ruksa?[/QUOTE
ahaa it can be arranged muonane na mlengwa kama kuna ulazima sana........ila ni mtu wa low profile sana......
Kwanini anataka kupata mtoto kwa njia hii? Nauliza kwa sababu kama kweli anataka donor awe God fearing, inamaanisha kwua na yeye ni God fearing. Sioni ni kwa vipi mtu ambaye ni God fearing anaweza kuamua kupata mtoto kwa njia hiiKwenye highlight, kumuona sura yake ruksa?[/QUOTE
ahaa it can be arranged muonane na mlengwa kama kuna ulazima sana........ila ni mtu wa low profile sana......
Kwanini anataka kupata mtoto kwa njia hii? Nauliza kwa sababu kama kweli anataka donor awe God fearing, inamaanisha kwua na yeye ni God fearing. Sioni ni kwa vipi mtu ambaye ni God fearing anaweza kuamua kupata mtoto kwa njia hii
i hope she wil get to read this,, unajua she is God fearing and when she told me of this option i objected big time ingawa she had all the medical reasons to back her up lakini nadhani labda yupo really depressed as well as amepitia mengi sana kwa muda mfupi,,, kifo cha mume, hiv positive, fibroid growth for the second time etc i mean thats a lot for one person to handle lakini i continue to pray na kumtia moyo sio rahisi hata kwa yeye kufikia haya maamuzi
God fearing? Afu 3 to 5 sioni za nini wakati hataki kuwa na mahusiano na huyo mtu baada ya kuzaa.
Anyways, good luck
umuone nani? huyo rafiki yangu ama mtoto atakapozaliwa?
Mie niko tayari,tatizo ni njinsi ya kuzitoa hizo ndude mwilini kwangu.natumia mbinu gani?
mie niko tayari,tatizo ni njinsi ya kuzitoa hizo ndude mwilini kwangu.natumia mbinu gani?
On BEHALF of my dear good FRIEND naomba kutuma maombi ya sperm donor....
Vigezo
Formost::::God fearing
1.Msomi (Geek)
2.Good looking (this is subjective so u will have to send ur picture ili muhusika aamue kama ameridhika)
3.Athletic
4.Great Personality
5.Generous and loving by heart
kwa aliye tayari atapata masharti zaidi PM
NB. Tafadhali volunteer jua kuwa hautaruhusiwa kuonana na mtoto atakapozaliwa na kama ikitokea imebidi basi mtoto atakufahamu kana Uncle
Pili. hautakutana kimwili na mlengwa bali utalazimika ku donate sperms zako.
NAWASILISHA
NN
Mi ninazo hizo Sifa zote hapo ila Ntakusaidia kwa Shs Milion 11 hivi..bei inaweza kushuka kidogo,naona watu wanauza figo nchi za nje walipe ada za vyuo ndo unazungumzia hili? kama una hio ela ni PM.Naitwa Bonnie MushiOn BEHALF of my dear good FRIEND naomba kutuma maombi ya sperm donor.... Vigezo Formost::::God fearing 1.Msomi (Geek) 2.Good looking (this is subjective so u will have to send ur picture ili muhusika aamue kama ameridhika) 3.Athletic 4.Great Personality 5.Generous and loving by heart kwa aliye tayari atapata masharti zaidi PM NB. Tafadhali volunteer jua kuwa hautaruhusiwa kuonana na mtoto atakapozaliwa na kama ikitokea imebidi basi mtoto atakufahamu kana Uncle Pili. hautakutana kimwili na mlengwa bali utalazimika ku donate sperms zako. NAWASILISHA NN
On BEHALF of my dear good FRIEND naomba kutuma maombi ya sperm donor....
Vigezo
Formost::::God fearing
1.Msomi (Geek)
2.Good looking (this is subjective so u will have to send ur picture ili muhusika aamue kama ameridhika)
3.Athletic
4.Great Personality
5.Generous and loving by heart
kwa aliye tayari atapata masharti zaidi PM
NB. Tafadhali volunteer jua kuwa hautaruhusiwa kuonana na mtoto atakapozaliwa na kama ikitokea imebidi basi mtoto atakufahamu kana Uncle
Pili. hautakutana kimwili na mlengwa bali utalazimika ku donate sperms zako.
NAWASILISHA
NN