Sperm donor needed

On BEHALF of my dear good FRIEND naomba kutuma maombi ya sperm donor....
Vigezo
Formost::::God fearing
1.Msomi (Geek)
2.Good looking (this is subjective so u will have to send ur picture ili muhusika aamue kama ameridhika)
3.Athletic
4.Great Personality
5.Generous and loving by heart

kwa aliye tayari atapata masharti zaidi PM

NB. Tafadhali volunteer jua kuwa hautaruhusiwa kuonana na mtoto atakapozaliwa na kama ikitokea imebidi basi mtoto atakufahamu kana Uncle
Pili. hautakutana kimwili na mlengwa bali utalazimika ku donate sperms zako.
NAWASILISHA
NN


Uwe makini katika screening; kwa uchakachuzi wetu wa ki Tanzania usishangae kupata mbegu za Sharobaro mbilikimo; mcheza mayenu toka siku ya kuzaliwa:)
 
Thats what i told her anyways i will try to convince her kumfikiria baba wa huyo mtoto maybe she will change her mind,, at the moment she is in so much pain,,, amefiwa na mume wake ana wiki moja tuu afta their wedding so i kinda feel for her

So this is probably about inheritence. Is she doing this cause she stands to loose everything? Good luck.
 
On BEHALF of my dear good FRIEND naomba kutuma maombi ya sperm donor....
Vigezo
Formost::::God fearing
1.Msomi (Geek)
2.Good looking (this is subjective so u will have to send ur picture ili muhusika aamue kama ameridhika)
3.Athletic
4.Great Personality
5.Generous and loving by heart

kwa aliye tayari atapata masharti zaidi PM

NB. Tafadhali volunteer jua kuwa hautaruhusiwa kuonana na mtoto atakapozaliwa na kama ikitokea imebidi basi mtoto atakufahamu kana Uncle
Pili. hautakutana kimwili na mlengwa bali utalazimika ku donate sperms zako.
NAWASILISHA
NN


Unajua hii ''Foremost God fearing'' nullifies the rest of the qualifications. Kwa sbb kuna njia mbili tu za kupata sperms;either thru masturbation or tickling of the G-sport thru the anus'' zote hizi hazikubaliki ktk dini yyte! Kwa maana hyo km anataka donor hyo aiondoe.
 
if that is the case mwambie atuie aachane na huu mpango kwanzo.she may be like to do it out of psychological matter but not out of intimacy. mwambie aache atulie ajipange anaweza kupata mpenzi mwingine mbona ni mapema sana?huo ni msongo tu wa mawazo mkutanishe na mshauri nasaha ili aweze kumpa faraja b4 anything

Nimekusoma but another thing she is HIV positive hata her late husband was positive as well,, huyu mdada huko nyuma alishawahi kufanyiwa operation ya kutoa fibroid na sasa imerudia tena na daktari kamshauri abebe mimba as soon as possible kabla hii fibroid haijakua zaidi manake wanaweza kuondoa kizazi chake na before she could get pregnant ndo hivyo mume kafariki na kiukweli amekata tamaa na tayari yupo kwenye counselling
 
Unajua hii ''Foremost God fearing'' nullifies the rest of the qualifications. Kwa sbb kuna njia mbili tu za kupata sperms;either thru masturbation or tickling of the G-sport thru the anus'' zote hizi hazikubaliki ktk dini yyte! Kwa maana hyo km anataka donor hyo aiondoe.

ntamuambia aiondoe,,, ila hapa nadhani alitaka mtu ambaye ana hofu ya Mungu from his genes... ok perhaps ntaiodoa
 
Nimekusoma but another thing she is HIV positive hata her late husband was positive as well,, huyu mdada huko nyuma alishawahi kufanyiwa operation ya kutoa fibroid na sasa imerudia tena na daktari kamshauri abebe mimba as soon as possible kabla hii fibroid haijakua zaidi manake wanaweza kuondoa kizazi chake na before she could get pregnant ndo hivyo mume kafariki na kiukweli amekata tamaa na tayari yupo kwenye counselling

bana hatuombei kifo but with complications za mimba za kileo na afya yake aachane na hayo mambo yakuzaa. ajitunze yeye kama yeye if posibo akaasili mtto kwani lazima kubeba mimba kama hali hairuhusu?

asilemewe na maneno kwamba huwez kuwa mama kama hujabeba mimba wakati mtu yyte anaweza kukuita mama uktaka ishu ni wewe unavyijipresent kwake mbona miye nina mtoto humu jamvini Ronn M na sijamzaa mimi? kusukuama mtoto hakuna mashiko kama afya ishakuwa mgogoro hapa atulie ajali aya yake kupunguza astress manake je akifa baada ya uzazi atamwachia yatima wake nani ili hali hatak baba mtoto amjue mwanae? bado hujaniconvice bana.

ushauri wangu atafute HIV+ mwenzie waish kwa matumain wale bata na kuleana basi kwani maisha yako established kwenye kuzaa peke yake?
 
Last edited by a moderator:
So this is probably about inheritence. Is she doing this cause she stands to loose everything? Good luck.

Not really she has everything she needs by her own name.... she wishes to be a mom before its too late,, she is very likely kutolewa kizazi if she wont conceive soon,, but she is also HIV positive as well
 
bana hatuombei kifo but with complications za mimba za kileo na afya yake aachane na hayo mambo yakuzaa. ajitunze yeye kama yeye if posibo akaasili mtto kwani lazima kubeba mimba kama hali hairuhusu?

asilemewe na maneno kwamba huwez kuwa mama kama hujabeba mimba wakati mtu yyte anaweza kukuita mama uktaka ishu ni wewe unavyijipresent kwake mbona miye nina mtoto humu jamvini Ronn M na sijamzaa mimi? kusukuama mtoto hakuna mashiko kama afya ishakuwa mgogoro hapa atulie ajali aya yake kupunguza astress manake je akifa baada ya uzazi atamwachia yatima wake nani ili hali hatak baba mtoto amjue mwanae? bado hujaniconvice bana.

ushauri wangu atafute HIV+ mwenzie waish kwa matumain wale bata na kuleana basi kwani maisha yako established kwenye kuzaa peke yake?

ingawa ana hiv lakinii cd4 zake bado zipo juu sana na amepewa go ahead na daktari wake kubeba mimba,, ila hayo unayosema nilishaongea nae lakini alivyokua akinililia kwakweli nilimuonea huruma ukizingatia she was the only child,, mmhh mimi nimewakilisha tuu na i will tell her to go thru this thread labda haya mawazo yatamsaidia
 
ingawa ana hiv lakinii cd4 zake bado zipo juu sana na amepewa go ahead na daktari wake kubeba mimba,, ila hayo unayosema nilishaongea nae lakini alivyokua akinililia kwakweli nilimuonea huruma ukizingatia she was the only child,, mmhh mimi nimewakilisha tuu na i will tell her to go thru this thread labda haya mawazo yatamsaidia

aisee yani siwez kuamini kuwa kuwa only child ndo sababu hivyo ndivyo nature ilisha mchagulia sasa atafanyeje? je amewaza upande wa pili wa shilingi ama anaazia amani na furaha yake tu? hakuna ubaya kama ajeazae kisha afariki amwache mtoto kiwa yatima yaani hilo kwangu mimi naliona kama gumu sana. lkn aamue mwnyw moyoni mwake
 
On BEHALF of my dear good FRIEND naomba kutuma maombi ya sperm donor....
Vigezo
Formost::::God fearing
1.Msomi (Geek)
2.Good looking (this is subjective so u will have to send ur picture ili muhusika aamue kama ameridhika)
3.Athletic
4.Great Personality
5.Generous and loving by heart

kwa aliye tayari atapata masharti zaidi PM

NB. Tafadhali volunteer jua kuwa hautaruhusiwa kuonana na mtoto atakapozaliwa na kama ikitokea imebidi basi mtoto atakufahamu kana Uncle
Pili. hautakutana kimwili na mlengwa bali utalazimika ku donate sperms zako.
NAWASILISHA
NN


Mkuu hiyo ya tatu ndo si-qualify, pole.
 
ingawa ana hiv lakinii cd4 zake bado zipo juu sana na amepewa go ahead na daktari wake kubeba mimba,, ila hayo unayosema nilishaongea nae lakini alivyokua akinililia kwakweli nilimuonea huruma ukizingatia she was the only child,, mmhh mimi nimewakilisha tuu na i will tell her to go thru this thread labda haya mawazo yatamsaidia
Anna Maria njoo uchukue kwangu, lakini sharti nimuone kwanza.
 
aisee yani siwez kuamini kuwa kuwa only child ndo sababu hivyo ndivyo nature ilisha mchagulia sasa atafanyeje? je amewaza upande wa pili wa shilingi ama anaazia amani na furaha yake tu? hakuna ubaya kama ajeazae kisha afariki amwache mtoto kiwa yatima yaani hilo kwangu mimi naliona kama gumu sana. lkn aamue mwnyw moyoni mwake

yeah speaking of misfortunes eeh?? ndo maana kanigusa na nimeona logic ya point yake ingawa i was so against it mwanzoni,, lakini i put myself in her shoes... siku hizi kuna uwezekano mkubwa wa kuzaa bila kumuambukiza mtoto plus kuishi miaka mingi kama unatumia dawa vizuri tafiti zinasema una mpaka miaka 30 ya kuishi... so she still could have a shot at it...
 
Back
Top Bottom