Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
- Thread starter
- #21
Anne Maria mie ningechangia, lakini hizo sifa kwenye bold sina..................LOL
Duh, hii maneno akiona mama Ngina kitanuka home..................!
hahahahahah Mkuu nadhani unazo hizo sifa bana esp kwenye usomi pale lol ila huyu mama Ngina ndo analeta kauzibe khaa,, fanya ki private private basi!!!