Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
ni umasikini tu ndugu zangu ndio unaofanya mkose spidi nakumbuka nimeweka bundle ya 2500 kwa mb400 average speed ni 20-30 kb/s ila kuna one guy aliweka bundle volume based ya 12000 ya mb500 average speed mchana 300-400kb/s na ucku ni 400-600 kb/s kama ina re-cache huwa inafika 800 kb/s kama kwenye picha mliyoiona ila hutokea kwa mda mfup