mkuu hiyo ya 7500 kwa week plus ndio ninayotumia lakini kamwe siwezi kufikia hito speed ya uncle rukus,Tigo raha kwa kweli,Lakini sasatel nao raha lakini ununue bandle ya 7500 kwa wiki zote natumia na ni safi,sema inategemea na eneo pia
nipo tabata mawenzi pengine ndio sababu