Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
- Thread starter
- #41
mkuu hmbona kwenye tariff zao hiyo bundle ya standard month ni 15,000sh vipi unalipa 45,000?
With Tigo it is easy to access the internet with your phone. Choose package, text in the keyword, and you are ready to go!
Light day – 450 tsh Text in Light day to 15166
Light week- 2,500 tsh Text in Light week to 15166
Light month- 9,000 tsh Text in Light month to 15166
Standard week- 4,500 tsh Text in Standard week to 15166
Standard month- 15,000 tsh Text in Standard month to 15166
Mkuu, unapofanya hivi vitu unatakiwa kuwa makini sana na siyo kubahatisha vitu, hizo bundle ulizoweka wewe ni maalumu kwa matumizi ya simu..... na hivyo hivyo kuna bundle za matumizi makubwa ya kwenye modem... tizama hapa chini kwenye picha...
Standard week ndiyo tsh 15,000- na mwezi ni tsh 45,000-