Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
unafkiri walioweka speed meter hawajui yote hayo?? Kua tairi ya scania ni kubwa, na tairi ya starlet ni ndogo??? Ngoja nikuulize swali, je ndege zikiwa hewani, moja kubwa na ingine ndogo, na zote zinaenda at 120km/h lets say, kwahiyo ndege kubwa itamzidi ndege ndogo???? Ama labda tuchukulie meli, mv skagit na speed boat ndogo, zote zikawa katika 120km/h, yupi atakaemzidi mwenzie???? Msilete mambo ya tairi kubwa na ndogo, ishu ni km/h, ni SI unit worldwide, iende gari, iende meli, akimbie swala, iende ndege, iende bodaboda, ukiweza hata ukimbie wewe, the speed will b the same, since it is km/h..
Kwa gari au pikipiki diameter ya tairi ni kigezo muhimu sana. Maana speedometer sensor imefungwa kwenye tairi linaloendeshwa (a driven tyre) na speed sensor inahesabu mizunguko (revolutions) ya tairi. Tairi ndogo inazunguka mara nyingi zaidi kuliko tairi kubwa kwa umbali uleule. Kwa hiyo wachangiaji waliochangia hapo juu kwamba tofauti ya ukubwa wa matairi unacontribute kwenye tofauti ya actual speed wapo sahihi.