wewe acha kutuzuga hapa, unataka hotuba za kikwete za nini. Huo muda wa kusikiliza nenda kapalilie bustani utavuna mchicha kwa afya yako kwani ni pumba tu. Kama vile, majina ya wauza madawa ya kulevia ninayo, majina ya mafisadi ninayo na majina ya wakwepa kodi ninayo ila achukui hatua madhubuti kuwakabili. Shit. kafanye kazi nyingine tafadhali, ushauri wa bureeeeeeeee, ila sijakukataza kuzitafuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.