Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
kila kinachofanywa wanasema ni kwaajili ya wananchi lakini cha ajabu wananchi ndio wanazidi kuathirika kwa hayo wanayosema ni kwaajili ya wananchi,ngoja tusubiri mkuu labda kuna miujiza mbeleni
kila kinachofanywa wanasema ni kwaajili ya wananchi lakini cha ajabu wananchi ndio wanazidi kuathirika kwa hayo wanayosema ni kwaajili ya wananchi,ngoja tusubiri mkuu labda kuna miujiza mbeleni
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.
Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.
Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.
Kama uwajibikaji wenyewe ndio huu, basi kazi ipo. Kama alikuwa anataka kutuonesha kwamba kweli ana uchungu, Rais angeanza kutuambia kwanza mshahara wake ni kiasi gani, na baada ya hapo atamke kwamba unashushwa na sasa utakuwa kiasi fulani. baada ya hapo itakuwa rahisi kushusha mishahara ya vigogo wengine. tatizo hapa ni kwamba sera za CCM zilikuwa ni kupandisha mishahara na marupurupu ya wakubwa kwa kiasi kikubwa sana. kwa hiyo asichague mmoja tu hapa na pale. sera hiyo yote iangaliwe upya, kwa viongozi wote, pamoja na wabunge ambao walikuwa wanadai na wao washirikishwe ili wapitishe miswada. Nyerere alifanya hivyo mwaka 1967. alikata mshahara wake mwenyewe, na wengine wakafuatia. na alipoona tatizo kubwa la ufisadi, uongozi ulikaa chini na kuibuka na Dira ya Azimio la Arusha. miiko ya viongozi iliwabana viongozi wenyewe. walianza na wao wenyewe. wengine akina Kambona wakakimbia nchi. Rais anatakiwa aje kwanza na Dira ambayo itaongoza maamuzi na utendaji wake, na kurahisisha utendaji wa wale walio chini yake. vinginevyo itakuwa ni vurugu tu. haiwezekani kuendesha nchi kwa decrees tu tena za kutolewa papo kwa papo.Hatuhitaji hotuba tamu tamu, tunataka uwajibikaji. Pole sana
Mimi naona umekurupuka kuposti hichi ulichoposti hapa, au unaweza kuwa wewe ni mpinzani aliyejipanga kukosoa kila kitu as if wewe huna mapungufu..vingevyo unaweza kuwa ni miongoni mwa wenye majibu. Muache rais afanye kazi yake.
hotuba zinakuwa na ubabe mwingi ili litapelekea kuzidisha hofu kwa walio chini yake
Kazungushe mikono kule unazijua hata sifa za good speech ama unakurupuka tuu...!!! Unasema zinakukera speech za babu yenu za dakika3 zilikua zina nn tutolee upuuz wa Monduli hapa kanywe viroba kulee