Speech ya Kikwete Davos- World Economic Forum--Tatizo nini?

Sidhani kama Tatizo la kuongea linatokana na kiingereza duni tu. Tatizo lipo katika kujua matatizo ya nchi kwa ujumla kujali Watanzania na mipango ya serikali ya CCM katika kutatua matatatizo ya Tanzania.

Jibu la kikwete linaonyesha wazi wazi kwamba serikali ya CCM haina mwelekeo, haijui inafanya nini, haijui jukumu lake katika kuendelezanchi yaTanzania.
Jibu la Kikwete linaonyesha jinsi yeye Binafsi alivyomtupu na akili yake ilivyouchi katika uelewa wa nafasi yake kama Rais wa nchi na pia kama Mtanzania.

Zamani zile Kikwete aliwahi kusema hajui kwa nini Tanzania ni masikini,hakika alikuwa akiongea ukweli kutoka akilini mwake.
Kikwete hajui kwa nini akae chini na kupanga maendeleo ya nchi wakati yeye binafsi na serikai yake hawaoni tatizo.

Hili ni Tatizo la kuwa na washauri kama Dr Feki Nchimbi na Tyson. Kikwete amezungukwa na Mashati yasiyo na viwiliwili wala vichwa yajiitayo washauri wa Rais. Nchimbi anaweza kumshauri nini Rais wa nchi?? Zaidi ya Umbeya na Mademu?

CCM imefisrisika kisiasa kilichobakia kuilinda CCM isife ni Ngumi,Wizi na Uongo. Hayo ndo Mafiga Matatu ya CCM

CCM wanasema uongo,Uongo wa Kumanufacture kma kumanufacture walimu, uongo ukiwashinda wanakunja ngumi kwa hasira huku wakinyea raia wa nchi uongo wakiwatisha wauamini kwa nguvu, vyote vikishindikana wana tumia fedha za wizi na kuongeza uongo juu yake na kusurubu kila ashindwaye kuamini uongo wao.

Rais kikwete anaiwezea mipasho ya kihunihuni tu mambo yakiwa serious utamwonea huruma.Baada ya kuuliza swali Jamaa aligeuka sura akafanana kabisa na jinsi alivyokuwa pale Jangwani kabla ya Kudondoka Pwaa!!! Pale jukwaani. Alishikwa na fadhaiko mkuu.

Yule Demu binti wa Tycoon wa Marekani hakuongopa pale alipo sema jamaa kwenye issue za kitaifa ni mtupu hana nguo, na pale mkiwa Faragha anajichekesha Kaa kajivulana fulani kasiko jua kutongoza.

Niatakuwa sijasema kila kitu nisiposema kwamba Kikwete ni aibu kuu ya taifa zima na ni mzigo wetu wote. Sisi ambao hatukumpigia kura, wale wliompigia kura na wale waliosaidia kwa namna moja au nyingine kuiba kura ili ashinde watu kama Kiravu Yule Jaji Kishaibu na mwanga muwanga uchi, UWT na wananchi wa kawaida waliofaidika na Tshirt kofia na kanga za Green na Kijani kumradhi yellow.

Naamini kama si Per DM Mheshiiwa asingeenda huko Mkutanoni.

Kwa mtaji huu wa Viongozi wa kada ya Taifa wasio na vision na watupu aina ya Kikwete, hata ipite miongo 7 bado tutakuwa nyuma kama mkia wa mbwa.
 
JK hakupewa full information of tht meeting agenda,it is open ni kama kashtukizwa.kuhusu chapia thts not a big deal,sio mbaya sana kwa sababu kayajibu maswali lakini si kwa kiwango ambacho walidhani angejibu
 
ukiwa baba wa familia ukaoma familia inakudharau basi ujue hautimizi mahtaji ya familia,mi naona ndo hal inayomkumba na imekwenda mbal zaidi hata ameanza kupoteza heshma kimataifa,hakika wenztu wanatuona wajinga,,leo nmeckia padre kilain anasema nchi hii inahtaj rais kama kagame,lkn nakumbuka alwah sema jk n chaguo la mungu,hakka watanzania ttalia kilio cha mtu mzma
 
Haki ya Nani anatuaibisha kama Taifa, Watanzania ndio tunaonekana wendawazimu kabisa kwani watafikiri kwa Jk ndio afadhali kidogo ndio mana akawa Rais, itz shame, disgrace, dishonor and embarassement this guy Kikwete z bringing to Us
 
Hivi tuki-Calculate GPA ya Kikwete kwenye uongozi wake hivi anaweza Ku-Survive hapo Magogoni?? Am afraid anaweza Ku-score 1.7 Overall GPA which means Discontinued, why then he is still in the office???
 
Katika Mkutano huu, Rais Zuma, JK, Melles, Raila Odinga na rais wa Guinea walipewa nafasi kuchangia nini hasa kifanyike ili Afrika iweze kupiga hatua....Jk kwa kweli lionyesha kutojua anachosema mwanzoni, kwa sababu pengine hakuwa anajiamini, hasa baada ya wenzake kumtangulia kutoa pointi za msingi. Sijui tatizo la mh wetu ni kutojiamini au kutofahamishwa vizuri au wabaya wamempa dawa ya kuzubaisha akili (kwenye mialiko yake) . Wakati mwingine anatafuna maneno au anasema vitu ambavyo haviendani.....Hebu soma na uangali video pia. Maneno yenye rangi nyekundu ni makosa yake mwenyewe. Blue ni maneno ambayo hayana maana ya msingi kwa wasikilizaji wake.


WORLDECONOMIC FORUM, DAVOS


Swali.What are going to be the forces of change to improve the performanceof Africa which has already shown that it is making a difference;whether is education that has to be improved, or whether it isinfrastructure, or development of IT, whether it is regionalcooperation or whether it is greater trade with the rest of theworld, or whether it is development of new industries, or whether istrade regulation....(Gordon Brown)




JIBU (MH JK)
Indeed one can say there is transfo, transformation taking place inAfrica
There is a lot ample evidence to that fact, emh
When you look at the socio-economic lives of our people and ournations in education, in healthcare, infrastructure development, inagriculture, in manufacturing and so forth and so, but much more needto be done, this is the bottom line. Of course, there are times when Africa is portrayed as there is nothing happening, but i would say the contrary. Ther is a lot of happening.
But much more needs to be done. And why, because we are strating from low levels of development
At independence, 50 years ago, Tanzania , the GDP per capital was 35 dollars. There was only three tarmac roads the length of 190kilometers. And we are country with 85,000 kilometers of roads network. So this,we started from low levels of development, diseases,deprivations of all sorts of.....we have plenty. But also we are part of the global economy, so whatever is happening in some parts of the world definitely affects us.


A few years ago, we had global economic financial crisis and we had reversals to our growth. Now we have a lot of anxiety with the Eurozone crisis I hope it is going to be fixed quickly so that if, if it doesn't , then there is going to be a many problems. There isevidence of growth, high levels of growth. I think this, the fastest growing continent now. But plenges are still there. So more needs to be done, eehh to be very precise in my view one Africa must stay the course in pursuit of sound economic policies. Because it it sound economic policies which has enabled many of our countries to attain micro-economic stability. The higher lev highl....low inflation rates high levels of growth.So weshould stay the course in pursuit of sound economic policies. Weshould invest more in education; primary, secondary, tertiary,technical training in order to build the human resource, because at the end of the day it is the man or woman who is going to make things happening and not the machines. You can have the machines if you donthave a competent people to use the machines then nothing can happen.So education is, is critical, as, as, as a major impet. We should invest more in the transformation of agriculture. To me agriculture is a priority because seventytwenty percent of our people live in rural areas and agriculture is their mainstay, but is subsistence agriculture, people live from hand to mouth, they cannot feed themselves. They dont have enough cash crops to be able to earn more to transform their lives better


We need to develop manufacturing sector. We cannot continue to be primary producers  produce raw materials for the others to go and make goods, finished goods and then come back. I was saying my Blake proffesor of economics at the university taught me, we used to have a good phrase, we produce what we dont consume and consume what we dont produce---Ahha aahhhhaaa...we produce for the others so that the others produce for us to consume. This thing can't continue.Thats why may ensuring that the manufacturing sector is growing faster in Africa is also critical. We have abundant resources, mineral resources, agricultural resources, natural resources but what is lacking is vibrant manufacturing sector which Africa should look at.


And in any cae, economies transit from being predominantly agricultural, then they go to manufacturing, and then they go to the service, to the service becoming the predominant one. So this is another important aspect. We have to develop infrastructure. Well, as I am saying we had only three, three, three roads in the country with a demand of 85,000 kilometres square of kilometres of roads. Without roads there is no development, there is no development without electricity, there is no development without telecommunications. Africa cannot continue to be left behind in the digital divide. Definitely we have , have , we have to catch up. The other thing is regard intergration. If we , if we say we are going to produce more and from agriculture, produce more from manufacturing, definitely markets are essential. Regional markets but also international markets. For regional markets, of course there are regional economic groupings are an important factor. This is , this is a, a song now in the whole of African continent. The regional economic groupings everywhere and we have continuosly strengthening them. We are now looking at even merging them, eehh. In july we had a meeting in South Africa where we discussed the creating a grand free trade area bringing together Southern Africa Development Community, East Africa Community, Commont Market for Southern and Central Africa. From Cape Town to Cairo.......I was saying in Addis Ababa,eeeh on South Africa the other day Cecil Rhodes Jones the colonist talked of the eehhh, ...Great North Road from Cape Town to Cairo but this was for colonial purposes. We are , we are doing it now for our own, for our own good....hahahaha...hahaaa....this is an aspect. But also at international level now we need access to markets, thats why to us in Africa early conclusions of Deha Declaration Agenda the round is, is, is so critical, so that we can remove open up the markets, remove trade distorting subsisdies in the developed countries so that we can have access to markets. I can say that forthe begining , ....let me say that to start with

(akakatishwa naGordon Brown baada ya kuona haeleweki.................)

Davos 2012 - Africa - From Transition to Transformation - YouTube

Usimwonee wivu JK...kwani hujui kwamba "kidhungu" kakutana nacho shuleni?
 
unaongea lugha gani wewe hueleweki..

Anayetaka kuelewa ameelewa unless kama mtu atataka kuchunguza ufasaha wa lugha, kitu ambacho kwangu hakina maana yoyote ile. Kimsingi, pointi alizozitoa hazina matatizo yoyote lakini tatizo la wakosoaji mpo ili kukosoa chochote kilichopo!!! Na hapa ndipo ninapoona upoteaji mwelekeo wa JF, kwani badala ya kujadili na kukosoa mambo ya msingi, tunaishia kuzungumzia mambo madogomadogo yasiyo na chembe ya tija! Binafsi, kila siku naingia JF, lakini sio lazima niandike kwavile kama sina cha kuandika naishia kusoma na kutambaa zangu!!! Nchi hii ina matatizo ya msingi, ambayo JF yenye wasomi wa kada mbalimbali wanaishia kulaumu na kukosoa mambo mepesi mepesi. Kulikuwa na MKUKUTA, umeishia wapi.....na wala sijaona watu wakitoa michango yao kuhusu hilo!!! Kuna KILIMO KWANZA; kuna mikakati gani iliyowekwa kufikia dhana ya kilimo kwanza.....tunaishia kukosoa na kuponda bila kutoa njia mbadala. Amini amini nawaambia, JF ni jukwaa linalotembelewa na watendaji mbalimbali wa serikali....ninaamini watendaji walio makini wanaitumia michango ya hapa JF hata kama they don't acknowldge. By the way, tunachotaka ni mustakabali bora wa taifa letu na sio kuwa acknowledged. Kwa siku kadhaa sasa, tumekuwa tukijadili suala la Dr, Lwakatare na JF.......wengi tunakimbilia kusema kwamba magamba wanaiogopa JF kwavile inafichua maovu!!! Inawezekana ni kweli; lakini ufichuaji wa maovu JF haujaanza jana wala juzi. Tunajifanya viziwi na wapofu na kusahau kabisa kwamba tunapoteza mwelekeo wa JF. Tukubali tusikubali, wachangiaji wengi hivi sasa wamekalia kutoa lugha chafu na zisizopendeza. Binafsi, siikubali CDM lakini katu siwezi kumotolea lugha za kashfa kiongozi yeyote wa CDM hata kama atanikera namna gani. Lakini hii ni tofauti.....badala ya kujikita kwenye hoja za msingi, tunaishia kwenye matusi, kashfa za kidini, kikanda na hata kikabila!!!! Wakati tunadai demokrasia na uhuru wa kujieleza, bado baadhi ya wana-JF wanaamini wakisemacho na kukiamini wao ndio bora na mengine yote yanatoka kwa mazuzu, mazezeta na vilaza. Na ikitokea cku JF ikaja kufungiwa, wala si kwa sababu JF inalipua mabomu bali ni kwavile wachangiaji wake wamekosa mwelekeo na kutawaliwa zaidi na ushabiki uliobeba jazba. Na wengine, wanzani, ili waonekane wanakerwa na jambo fulani basi ni lazima watuakane.....huu ni upungufu wa weledi. Enzi za Mkapa, kulikuwa na msemo mmoja au statement moja iliyokuwa inasema "wasomi wa Tanzania wanaamini serikali ya Benjamini Mkapa haijafanya lolote; jadili!" Hapa maana yake ilikuwa ni kwamba, kama unaamini kwamba Mkapa amefanya mambo makubwa, basi wewe si msomi....!!!! Na sasa imebadilika, ili mtu aonekane ni msomi, mzalendo, mkereketwa, na mchukia ufisadi basi ni lazima awe anatoa kauli kauli, zilizoambatana na matuzi especially hapa JF......huu ni utumwa wa fikra!
 
Duh.......... seventytwenty.......... Deha declaration lol!!!!!!!!!!!!!
 
machungu ya uchaguzi... mtatoka mapovu sana lakini yeye ndio rais wenu, wetu.Ndio kura za watanzania zimeamua hivyo.Chuki inawafanya nyeusi muone nyeupe

Ww ni kibaraka wa Nape,huna jipya,mapovu yanakutoka ww mzee wa madrasa
 
Tatizo la kuchagua rais wa nchi kwa kutumia masabuli. Mi siwezi kuwa na rais kiazi mbatata namna hii, Haiwezekani.:lol:
 
Tatizo hapendi ku- delegate, mbona Kibaki kamwacha Raila Odinga kuhudhuria? Tatizo la JK kila mkutano anataka ahudhurie. Anyway alijitahidi kwa kiasi chake. Mahali aliponi -disapoint kabla ya speech yake ya mwisho Gordon Brown aliweka wazi kuwa tatizo la viongozi wengi wa afrika kila mwekezaji ni lazima aonane na rais (alionyesha kama huu ni udhaifu) bila kujua JK nae akasema kuwa kama kuna mwekezaji anataka kuja kuwekeza Tanzania amuone dah....4 na kwa kunyesha kama dhihaka Gordon Brown akasema inawezekana baada ya kumaliza hapa wengi tu watakufuata....inabidi niindelee kuvumilia kuwa MTANZANIA

Asa we ulitaka aende pinda?tema mate chini aisee..Aibu ingekua mara mia
 
Katika Mkutano huu, Rais Zuma, JK, Melles, Raila Odinga na rais wa Guinea walipewa nafasi kuchangia nini hasa kifanyike ili Afrika iweze kupiga hatua....Jk kwa kweli lionyesha kutojua anachosema mwanzoni, kwa sababu pengine hakuwa anajiamini, hasa baada ya wenzake kumtangulia kutoa pointi za msingi. Sijui tatizo la mh wetu ni kutojiamini au kutofahamishwa vizuri au wabaya wamempa dawa ya kuzubaisha akili (kwenye mialiko yake) . Wakati mwingine anatafuna maneno au anasema vitu ambavyo haviendani.....Hebu soma na uangali video pia. Maneno yenye rangi nyekundu ni makosa yake mwenyewe. Blue ni maneno ambayo hayana maana ya msingi kwa wasikilizaji wake.


WORLDECONOMIC FORUM, DAVOS


Swali.What are going to be the forces of change to improve the performanceof Africa which has already shown that it is making a difference;whether is education that has to be improved, or whether it isinfrastructure, or development of IT, whether it is regionalcooperation or whether it is greater trade with the rest of theworld, or whether it is development of new industries, or whether istrade regulation....(Gordon Brown)




JIBU (MH JK)
Indeed one can say there is transfo, transformation taking place inAfrica
There is a lot ample evidence to that fact, emh
When you look at the socio-economic lives of our people and ournations in education, in healthcare, infrastructure development, inagriculture, in manufacturing and so forth and so, but much more needto be done, this is the bottom line. Of course, there are times when Africa is portrayed as there is nothing happening, but i would say the contrary. Ther is a lot of happening.
But much more needs to be done. And why, because we are strating from low levels of development
At independence, 50 years ago, Tanzania , the GDP per capital was 35 dollars. There was only three tarmac roads the length of 190kilometers. And we are country with 85,000 kilometers of roads network. So this,we started from low levels of development, diseases,deprivations of all sorts of.....we have plenty. But also we are part of the global economy, so whatever is happening in some parts of the world definitely affects us.


A few years ago, we had global economic financial crisis and we had reversals to our growth. Now we have a lot of anxiety with the Eurozone crisis I hope it is going to be fixed quickly so that if, if it doesn't , then there is going to be a many problems. There isevidence of growth, high levels of growth. I think this, the fastest growing continent now. But plenges are still there. So more needs to be done, eehh to be very precise in my view one Africa must stay the course in pursuit of sound economic policies. Because it it sound economic policies which has enabled many of our countries to attain micro-economic stability. The higher lev highl....low inflation rates high levels of growth.So weshould stay the course in pursuit of sound economic policies. Weshould invest more in education; primary, secondary, tertiary,technical training in order to build the human resource, because at the end of the day it is the man or woman who is going to make things happening and not the machines. You can have the machines if you donthave a competent people to use the machines then nothing can happen.So education is, is critical, as, as, as a major impet. We should invest more in the transformation of agriculture. To me agriculture is a priority because seventytwenty percent of our people live in rural areas and agriculture is their mainstay, but is subsistence agriculture, people live from hand to mouth, they cannot feed themselves. They dont have enough cash crops to be able to earn more to transform their lives better


We need to develop manufacturing sector. We cannot continue to be primary producers – produce raw materials for the others to go and make goods, finished goods and then come back. I was saying my Blake proffesor of economics at the university taught me, we used to have a good phrase, we produce what we dont consume and consume what we dont produce---Ahha aahhhhaaa...we produce for the others so that the others produce for us to consume. This thing can't continue.Thats why may ensuring that the manufacturing sector is growing faster in Africa is also critical. We have abundant resources, mineral resources, agricultural resources, natural resources but what is lacking is vibrant manufacturing sector which Africa should look at.


And in any cae, economies transit from being predominantly agricultural, then they go to manufacturing, and then they go to the service, to the service becoming the predominant one. So this is another important aspect. We have to develop infrastructure. Well, as I am saying we had only three, three, three roads in the country with a demand of 85,000 kilometres square of kilometres of roads. Without roads there is no development, there is no development without electricity, there is no development without telecommunications. Africa cannot continue to be left behind in the digital divide. Definitely we have , have , we have to catch up. The other thing is regard intergration. If we , if we say we are going to produce more and from agriculture, produce more from manufacturing, definitely markets are essential. Regional markets but also international markets. For regional markets, of course there are regional economic groupings are an important factor. This is , this is a, a song now in the whole of African continent. The regional economic groupings everywhere and we have continuosly strengthening them. We are now looking at even merging them, eehh. In july we had a meeting in South Africa where we discussed the creating a grand free trade area bringing together Southern Africa Development Community, East Africa Community, Commont Market for Southern and Central Africa. From Cape Town to Cairo.......I was saying in Addis Ababa,eeeh on South Africa the other day Cecil Rhodes Jones the colonist talked of the eehhh, ...Great North Road from Cape Town to Cairo but this was for colonial purposes. We are , we are doing it now for our own, for our own good....hahahaha...hahaaa....this is an aspect. But also at international level now we need access to markets, thats why to us in Africa early conclusions of Deha Declaration Agenda the round is, is, is so critical, so that we can remove open up the markets, remove trade distorting subsisdies in the developed countries so that we can have access to markets. I can say that forthe begining , ....let me say that to start with

(akakatishwa naGordon Brown baada ya kuona haeleweki.................)

Davos 2012 - Africa - From Transition to Transformation - YouTube


As much as I hate president Kikwete and his absolute lack of action, his wealth of words which he can not convert into sound and tangible positive effect, ...i still think that what was portrayed in this topic is not reflective of what actually happened in his speech.

Nashauri kila mtu kabla ya kutoa judgement hapa a-download kwanza hiyo dialogue na amtizame kikwete akizungumza.

I think the most important thing in a speech is driving the point home and being correctly understood. I started watching this video, already prepared to condemn JK but honestly i think the president's speech was well understood.

Tatizo la kikwete linabakia pale pale pa siku zote. HE LACKS ACTION!!.anazungumza mengi kuhusu kuboresha agriculture, infrastructure, manufacturing industry and so forth, all of which are true but he does not demonstrably show a way in which we can actively do enough to ensure that whatever we call a GDP growth is reflected in the lives of native persons.

Let us hate president Kikwete for a purpose.
 
Nyerere alituasa kuwa huyu ni mteke sana, hafai, waTz mkabisha, mnaona anavyoaibisha
297727_299335990091981_100000467471017_1236178_13646477_n.jpg
 
Back
Top Bottom