Specifications za generator ya umeme

Dingswayo

JF-Expert Member
May 26, 2009
4,019
2,923
Napenda kuwauliza wale wataalamu wa umeme: specifications za generator ya umeme unaowezesha kutumika kwa taa, fridge, jiko la umeme katika numba yenye vyumba kama vinne hivi, ni zipi?

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu Dingi, pole kwa jibu lililochelewa kidogo.Fanya mahesabu kidogo ya matumizi yako ya umeme.
Una taa ngapi? taa ya kawaida ni watts 40, kwa hiyo kama una taa 10--400watts
Friji yaako inatumia umeme kiasi gani? nyingine ni 500watts
Je una pasi? 1000watts
Jiko la plate ngapi? kama ni mbili kila moja 1000watts 2000watts
TV na radio zina matumizi madogo, kama 300watts
Hivyo basi jumla ya matumizi 4200watts
Hivyo basi unashauriwa kununua jenereta kubwa kidogo kuliko matumizi yako ya karibu 5000-6000watts(au 5-6Kva) single Phase
 
Mkuu Dingi, pole kwa jibu lililochelewa kidogo.Fanya mahesabu kidogo ya matumizi yako ya umeme.
Una taa ngapi? taa ya kawaida ni watts 40, kwa hiyo kama una taa 10--400watts
Friji yaako inatumia umeme kiasi gani? nyingine ni 500watts
Je una pasi? 1000watts
Jiko la plate ngapi? kama ni mbili kila moja 1000watts 2000watts
TV na radio zina matumizi madogo, kama 300watts
Hivyo basi jumla ya matumizi 4200watts
Hivyo basi unashauriwa kununua jenereta kubwa kidogo kuliko matumizi yako ya karibu 5000-6000watts(au 5-6Kva) single Phase

Mkuu asante hata mi nimeambulia, kwani sikuwa najua kv huwa zina maanisha nini? Huwa naishia kusikia ni nzuri ina kv sijui ngapi.. ohhh elimu haina mwisho asante sana Gwakisa

Lakini Dingi, kwanini usiweke solar mkuu?, garama ya genereta, = running cost zake na risks hasa kama watumiaji si makini, kwa solar ungepeta zaidi. Uzuri wa soalar kama huna pesa ya kutosha unaweka ya kuazia then unakuwa unaendelea iongeza jinsi unavo pata pesa, haina risk za kulipuka, wala kuishiwa mafuta.
 
Mkuu asante hata mi nimeambulia, kwani sikuwa najua kv huwa zina maanisha nini? Huwa naishia kusikia ni nzuri ina kv sijui ngapi.. ohhh elimu haina mwisho asante sana Gwakisa

Lakini Dingi, kwanini usiweke solar mkuu?, garama ya genereta, = running cost zake na risks hasa kama watumiaji si makini, kwa solar ungepeta zaidi. Uzuri wa soalar kama huna pesa ya kutosha unaweka ya kuazia then unakuwa unaendelea iongeza jinsi unavo pata pesa, haina risk za kulipuka, wala kuishiwa mafuta.
Solar electricity ni nzuri sana kama utakuwa na matumizi madogomadogo, lakini kwa matumizi yote aliyotaja Dingswayo siyo rahisi au vinginevyo utaingia gharama kubwa zaidi pengine kuliko hata generator.
Mwenye swali au ufafanuzi kuhusu masuala haya ya umeme aniulize.
 
Hakika mimi sio mtaalamu wa umeme. lakin suala la kutumia solar Tanzania ni risk sana hususan wakti a maintanace.

Hakika solar ni expensive sana kufanya maintanance.

nakushauri tumia generator itakusaidia sana na nakushauri tafuta generator ambao spares zake zipo available huko Tanzania
 
nakushauri tumia generator itakusaidia sana na nakushauri tafuta generator ambao spares zake zipo available huko Tanzania
Kweli kabisa.
 
Mkuu Dingi, pole kwa jibu lililochelewa kidogo.Fanya mahesabu kidogo ya matumizi yako ya umeme.
Una taa ngapi? taa ya kawaida ni watts 40, kwa hiyo kama una taa 10--400watts
Friji yaako inatumia umeme kiasi gani? nyingine ni 500watts
Je una pasi? 1000watts
Jiko la plate ngapi? kama ni mbili kila moja 1000watts 2000watts
TV na radio zina matumizi madogo, kama 300watts
Hivyo basi jumla ya matumizi 4200watts
Hivyo basi unashauriwa kununua jenereta kubwa kidogo kuliko matumizi yako ya karibu 5000-6000watts(au 5-6Kva) single Phase

Just to add..
Kwa kawaida Tanesco wanafanya rating kwa wateja wa nyumba za kuishi yani Domestic Customers kuwa 3kW. Hii mara nyingi inakuwa ni single phase.

Kwa wewe unaehitaji Generator ningependa kujua application zako ziko vipi? Je ni continuous load au utakuwa unaitumia intemittently kama standby unit?

Kwa mahesabu ya hapo juu ni dhahiri kwamba unaweza kuchagua generator yoyote kwenye range ya 4-6kVA. Meaning with 4kVA utakuwa unaitumia hii Generator at almost 95% of its capacity ila for future expansion i advise ujaribu kuchukua 6kVA.

The most important thing in buying these machines is the spareparts/after market support. Be sure of these issues when you buy any machine even cars cos the core business of any supplier of machines is not in the price of the machine but rather in the service and spareparts they sell after you buy the unit. Also things like warranty should be clear.

I hope you got at least somewhere to start. If you have any queries you are welcome, you can PM or just add a post!!
 
Solar electricity ni nzuri sana kama utakuwa na matumizi madogomadogo, lakini kwa matumizi yote aliyotaja Dingswayo siyo rahisi au vinginevyo utaingia gharama kubwa zaidi pengine kuliko hata generator.
Mwenye swali au ufafanuzi kuhusu masuala haya ya umeme aniulize.

kwa nini solar ni gharama....

kwa matumizi ya taa na fridge anaweza akatumia solar through out the year
alafu akatafu generator ndogo kwa ajili ya jiko, pasi
 
Napenda kuwauliza wale wataalamu wa umeme: specifications za generator ya umeme unaowezesha kutumika kwa taa, fridge, jiko la umeme katika numba yenye vyumba kama vinne hivi, ni zipi?

Natanguliza shukrani.

Here is the complete guide to the approximate load that each of these devices requires. For diesel engine generators & backup power to be effective, proper generator sizing is essential.Appliance

Run Wattage

Start Wattage

Emergency Requirements Basic Home:


Refrigerator
700
2800
Chest Freezer
500
2500
Lights 10 at 75 Watts
750
750
Microwave
1500
1500
Television
800
800
Gas Furnace Fan 1/2 hp
500
1250
Total Basic watts (KW=1000 watts)
4750
9600


Other Additions:


Coffee Maker
1100
1100
Dishwasher
1500
3750


Air Conditioner


12000 BTU
2800
7000
24000 BTU
4200
10500
32000 BTU
5000
12500
Drill Motor, sm.
500
500
Freezer
500
2500
Frying Pan, lg.
500
500
Frying Pan, sm.
150
150
Laundry Dryer Gas
500
1000
Laundry Dryer Electric
5500
6000
Hair Dryer
1500
1500
Heat Pump or Electric Heat
10000
10000
Light Bulbs
40
40
Light Bulbs
60
60
Light Bulbs
100
100
Light Bulbs
150
150
Motors 1/2 hp
500
1250
Motors 1 hp
1000
2500
Motors 2 hp
2000
5000
Oven - Electric
6500
6500
Radio
100
100
Refrigerator
700
2800
Space Heater
1500
1500
Stereo
120
120
Stove Electric - Per Element
1500
1500
Sump Pump 1/2 hp
500
1250
Toaster
200
200
TV, large
800
800
TV, small
100
100
Vacuum Cleaner
250
250
VCR
150
150
Water Heater - Electric
4500
4500
Well Pump 1 hp
1000
2500
Well Pump 2 hp
2000
5000
Well Pump 3 hp
3000
7500
Window Fan
250
250

source: Home Generator Sizing - GAL Power Systems
 
Niko kwenye hatua za awali za kuanzisha kituo cha redio jijini Mwanza ambacho kitakuwa kikisikika mikoa ya kanda ya ziwa.
Redio hii itakuwa ikitoa taarifa za habari,michezo na muziki wa kila rika.Pia tutakuwa tukielimisha jamii kuhusu mambo ya uraia na demokrasia.
 
Back
Top Bottom