Me npo dodoma vp naweza pata 32View attachment 430465View attachment 430467View attachment 430468View attachment 430469View attachment 430470View attachment 430471View attachment 430472karibuni sana
0777650286 & 0718919725
Tupo Mtendeni Zanzibar, kwa walio dar es salaam, tanga, moshi na arusha tutakusafirishia utalipa baada ya kupokea mzigo
Unaweza mkuu we sema tu unataka aina gani nikusafirishie, tunazo samsung, lg, star x na tcl smartMe npo dodoma vp naweza pata 32
Hizi sina mkuu wala sijawahi kuziona huku zanzibarAboder(nahisi nimecheka spelling )unazo TV za kampuni hiyo mkuu?
NAMBA IPI unaitumia whatsapp ili tuwasiliane.View attachment 440758View attachment 440759samsung led 32"
Brand new 2016
1hdmi port
1usb port
1 AV IN
Price: 440000
Contact: 0777650286 & 0718919725
Kwa alieyeko Tanga mnaweza kumtumia?Lg led 32" hd tv
Brand new 2016
Model 32LH51
1hdmi port
1usb port
1AV in
Price: 440000
Tupo Zanzibar, kwa walio nje ya Zanzibar tutakusafirishia na utalipa baada ya kupokea mzigo,
Contact: 0777650286 & 0718919125
NB: Hiyo ni bei ya kununua tu hapa, ni bila ya usafiriView attachment 432330View attachment 432331View attachment 432332
0777650286NAMBA IPI unaitumia whatsapp ili tuwasiliane.
Tunakutumia mkuu, mkuu wewe sema tu, kama utasema iv sasa nikutumie saa tisa leoleo utachukua tv yako, na utalipa baada ya kupokea tv yakoKwa alieyeko Tanga mnaweza kumtumia?
Ni used au mpya mkuuTunakutumia mkuu, mkuu wewe sema tu, kama utasema iv sasa nikutumie saa tisa leoleo utachukua tv yako, na utalipa baada ya kupokea tv yako
Ni mpya zimetengenezwa july 2016Ni used au mpya mkuu
Samahan kwa swali lingine
Nahitaji Lg inchi 32 au Philips inchi 32
Sawa nachukua namba yako nikiwa tayari ntakutafutaNi mpya zimetengenezwa july 2016
ShukranSawa nachukua namba yako nikiwa tayari ntakutafuta
SamsungUnaweza mkuu we sema tu unataka aina gani nikusafirishie, tunazo samsung, lg, star x na tcl smart
500000 mpaka inakufika hapo dodomaSamsung
kutuma tokea huko adi dodoma inachukua mda gani mkuu.500000 mpaka inakufika hapo dodoma
Contact 0777650286 & 0718919725
Kwa sababu ni posta ni siku 2 inakua umeshapata mzigo wakokutuma tokea huko adi dodoma inachukua mda gani mkuu.