Kuanzia sasa sitasoma post yoyote inayohusiana na UVCCM au CCM...Wanatuchezea akili hawa...Makamba na Sumaye lao moja hii ni njia ya kutuvuruga.Ona sasa tumesahau ya msingi..........
hata mimi sema tv ndio zinatuvuruga mara tabora mara jamaa wa kilimanjaro katoa siku saba uvccm iondoke jaman ila kuna anguko kubwa zaidi, maana sita nae kabana mbavu mpaka mwisho
kaa chini na uandike mambo ya msingi huu sio mtandao wa watu wakurupukaji kama wewe...kuwa makini na pumba unazo post,unataka kutuaminisha nini sasa mbona hueleweki.kila mtu ana uhuru kwa kutoa maoni juu ya mstakabari wa taifa ili na sio kuchagua habari nani kaongea komaa kisiasa dogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.