charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 5,975
Angel Nylon raha inakua raha sana wakati wa kuoga coz unaanzia kichwan hadi miguuni..una feel fresh!!!msaprizz hubby wako kwa kunyoa au atakutimua kwenu hadi ziote teh teh..
Angel Nylon raha inakua raha sana wakati wa kuoga coz unaanzia kichwan hadi miguuni..una feel fresh!!!msaprizz hubby wako kwa kunyoa au atakutimua kwenu hadi ziote teh teh..
Angel Nylon raha inakua raha sana wakati wa kuoga coz unaanzia kichwan hadi miguuni..una feel fresh!!!msaprizz hubby wako kwa kunyoa au atakutimua kwenu hadi ziote teh teh..
Angel Nylon raha inakua raha sana wakati wa kuoga coz unaanzia kichwan hadi miguuni..una feel fresh!!!msaprizz hubby wako kwa kunyoa au atakutimua kwenu hadi ziote teh teh..
Hahahahaha weee unamtaftia balaa mwenzio lol
Ha ha haaaaa, Lol. Hatonitimua Ila atanuna huyo hlf ntakosa zawadi. Lol
Wapendwa,
Nimeona nifungue uzi huu maalum kwa wadada wanaopenda mitindo ya nywele. Katika uzi huu nitakuwa nikiweka mitindo mbalimbali ya nywele kila nitakapopata nafasi, lakini pia kwa wale wenye kupenda mitindo ya nywele mnaweza kutupia picha mbalimbali za mitindo ya nywele ili kuweza kupeana uzoefu.
Karibuni sana wapendwa.
Naomba MODs waiweke thread hii sticky ili iwe ni mahali pa kupakulia mitindo ya nywele kwa wadada.
Hata mimi huwa napenda sana mrembo awe na nywele ndogo ndogo kama hizo za Flaviana pichani, hata upara sio kesi kwangu.huyu nimempenda sana
Huu wa kuwa kama kajitwika kinu?duh wanawake mna kazi.
Mkuu mimi sina kiwanda cha mafuta wala vipodozi.Hili ni jukwaa la kushauriana na kuhabarishana vitu vizuri vinavyosaidia utanashatiMELIPIA TANGAZO KAKA.... LA SIVYO PELEKA JUKWAA LA ATANGAZO
Yanafanya nywele ziwe zina sparkling, kwa sisi wa low cut zinafanya nyele zilale vizuri bila hata kutumia brush kuzilaza.Pia yananukia vizuri sana,hayana harufu ya kukera kama mafuta mengi ya nywele,na bei yake ni affordable kabisa,buku sita au saba.Kizuri kula na ndugu yako...badala yake nashutumiwa hapa natangaza biashara wakati nataka watu wawe wana shineYanakuza au vp?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums