Special thread:DR Mohamed Bilal na uwekaji mawe ya msingi,uzinduzi,utoaji tuzo na etc

Hii ni jana tu................Jamaa anajizolea umaarufu wa Kukata utepe na kufunua vitambaa!!!! 02.jpg
 
mi nadhan kuna nyadhifa nyingine serekale yetu ingalizidiliti...!

jamaa is typically "ceremonial"...hakuna utendaji....!hakuna asilani...!

ccm inapaswa kuondoka kabisa madarakani waingie wengine kabisa ijifunze namna ya kushikilia dola
 
kuna siku alikuwa anakabidhi zawad sijui msaada...wereva...wa mizinga ya nyuki kwa wakinamama fulan huko mbeya...na watu wa media wanabroadcast...!
 
02.jpg


mzee wa mawe ya msingi Mohammed Gharib Bilal, akiweka jiwe lingine tena la msingi katika chanzo cha mradi wa maji ya umwagiliaji katika Kijijji cha Kisegese, Wilaya ya Rungwe.........
 
Huyu mzee nadhani mpaka sasa anauzoefu wa kutumia mikasi kuliko hata fundi cherehani!
 
Tunataka fungua bucha ya kitimoto huku Sanje! Tunawasiliana na ofisi yake aje apige mikasi
 
hivi kuna umuhimu wowote wa kuweka mawe ya msingi yenye majina ya viongozi katika majengo na miradi ya umma ?! ni kuweka historia ama nini hasa? sababu hainiingii akilini kwanini tuwaweke kwenye historia watu wanaididimiza nchi yetu. sioni umuhimu zaidi ya kuchoma pesa za umma kwa ajili ya kukata utepe.
 
hivi kuna umuhimu wowote wa kuweka mawe ya msingi yenye majina ya viongozi katika majengo na miradi ya umma ?! ni kuweka historia ama nini hasa? sababu hainiingii akilini kwanini tuwaweke kwenye historia watu wanaididimiza nchi yetu. sioni umuhimu zaidi ya kuchoma pesa za umma kwa ajili ya kukata utepe.


Tutafute namna ya kupenyeza kipengee cha kukataa ubazazi huu kwenye katiba mpya. Haiwezekani mtu mwenye cheo kikubwa hivyo na mshahara mkubwa utokanao na kodi za Watanzania kuwa na job description kama hiyo.
Ingefaa kazi hizo ziwe za makatibu kata au wabunge wanapotembelea majimbo yao, yeye ni boss apite kukagua kama hospitali zina dawa, shule zina waalimu na vifaa vya kufundishia, kusikiliza matatizo ya watendaji nk, nk.
 
hebu fikiria kodi inayotumika kwa msafara wa huyu mkuu alafu inasihia kwa mikasi na kufunua
 
Back
Top Bottom