Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Hii ni special thread ya uwekaji mawe ya msingi,uzinduzi,utoaji tuzo na etc anayofanya Makamu wa rais DR Mohamed Bilal. Ifahamike kuwa hizo ndio kazi ambazo muda mwingi Dr Bilal anazifanya
Makamu wa raisi Dr Bilal akiweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi kijiji cha mkiu-mKuranga
Makamu wa raisi Dr Bilal akiweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi kijiji cha mkiu-mKuranga