Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba anahitaj ushauri sio masihara..tujirekebisheni basi.tuwe serious kwa wale wanaotaka ushaur.